Ndoa kudumu inataka uzuzu

Ndoa kudumu inataka uzuzu

Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo.
**Yaani Ile mke akiamka tu full kuongea tu mtu mpaka unajuta kubaki home na Corona hii.. jamani Kuna kinamama wanaongea aisee Tena NEGATIVITY tu hamna substance
Kumwambia huwezi..!!?? Pole sana
 
Huo sio uzuzu mkuu bali umetambua ni jinsi uwe ili uweze kuendana mwenza wako ili mambo yaende.
Kuna mwingine naye atatakiwa ajifanye na poyoyo ili mambo yaende.
Kwa sababu wanawake wanatabia tofauti tofauti hivyo inahitaji ubunifu ili kuendana nao.
Hapo kwenye ubunifu ndio penyewe kabisa! Watu wako tofauti sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida hapo ni sisi wanawake tunawaza mambo yote kwa wakati mmoja wakati ninyi wanume mna-prioritise... hapo ndiyo kuna kelele. Sijui unaelewa. Wote wako sahihi kulingana na circuit za brain. Hiyo mkeo akikuambia jambo bado wewe endelea ku-prioritise. Jambo lisilo maan ignore na fanya ya maana kwa kuwa kaitka tunayofikiria yote kwa pamoja mengine hu-cancel each other .. kumbuka hii inakufa na hii na hii inakufa na hii unabaki na .. katika hesabu.
Vizuri sana mkuu,,,
Unazidi kutusaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo sio uzuzu mkuu bali umetambua ni jinsi uwe ili uweze kuendana mwenza wako ili mambo yaende.
Kuna mwingine naye atatakiwa ajifanye na poyoyo ili mambo yaende.
Kwa sababu wanawake wanatabia tofauti tofauti hivyo inahitaji ubunifu ili kuendana nao.
Ramadan Kareem
 
Ndoa ili idumu Ni mke kuwa chini ya mume.
Otherwise hakuna ndoa.
Tukubari wanawake kushuka.
 
Ukweli ni huu ili mwanaume uishi kwa amani katika ndoa yako. 1.mke wako asikuzoee, kuwa mtu asiyetabilika yani hauleweki mienendo mara umekuwa mbabe tena apoapo kuwa mpole. 2.mwanamke asijue siri zako au unchofanya mda huo.wanaume wenzangu hawa wenzetu wanapenda kufukunyua siri za mtu afu hizohizo siri wanatumia kama silaha kumchapia muhusika kwa sababu kwenye hizo siri wanapata udhaifu wa muhusika. 3.hakikisha hauongelei masuala kuhusu ukoo wenu,marafiki zako,boss wako,Yani kiufupi asijue mambo unayofanya na watu wanaonguzuka na hata kama utaongea usiongee yanofanyika sasa ongea mambo yaliotukia kipindi cha nyuma tena yasiyo na madhara v 4.jiwekee akiba kwa ajili yako kama mwanaume trust me itakuja kukusave siku yakikuharibikia. 5.ji upgrade kila siku sio kisa umeoa unaacha utana shati kama mnavyowaona wenzetu hata kama ameanza kuzeeka utakuda bado ana jithamini hii kitu ndo inawapa kiburi. 6.Hakikisha anajua upo tayali mda wote kama ikitokea mtengano yani ajue bila yeye bado utapata furaha. Wanaume wenzangu mjitahidi msijiweke uchi kuanika siri zenu ndo kinacho waua kama mlikuwa hamjui ndo mana mwanamke anapo anza mahusiano na mwanaume kitu cha kwanza kukitafuta ni secret document baada ya hapo kuendeshwa ni lazima.hamujiulizi kwa nini Mungu aliwamwambia mwanamke utamwonea wivu mwanaume .jibu ni wanawake wanapenda kushindana na kumtawala mwanaume haya 50 to 50 hayajaanza leo
 
Jambo la muhimu ni kuwa mtu usiyetabirika tu mfano akifanya jambo zuri badala ya kumpongeza unajifanya kama hujaona vile. Au akifanya jambo la hovyo badala ya kumuadhibu unampotezea pia.

Kupitia hiyo ndoa itadumu vizuri kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuishi na mtu asietabirika ni kazi kwekweli nilishawahi kuexperience
 
Kwa Bongo ili ndoa idumu lazima uwe na moyo wa paka.
Yaani namaanisha uwe na uwezo wa kumubetia Arsenary na Yanga kwa hela ya kodi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom