Ndoa kudumu inataka uzuzu

Ndoa kudumu inataka uzuzu

Jambo la muhimu ni kuwa mtu usiyetabirika tu mfano akifanya jambo zuri badala ya kumpongeza unajifanya kama hujaona vile. Au akifanya jambo la hovyo badala ya kumuadhibu unampotezea pia.

Kupitia hiyo ndoa itadumu vizuri kabisa
Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ujengwa kwa nyuzi 3 ambazo ni...

1.Mungu

2.Mume

3.Mke

Kwa bahati mbaya ndoa nyingi ufugwa na kamba mbili tu yaani Mume na Mke hii ni hatari sana.

"Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampiga, wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi" Muhubiri 4:12

Kwa muktadha huo kutokana na fungu hilo utaona hili uhusiano wa Mume na Mke uweze kuimarika zaidi utaitaji uwepo wa Mungu na si majirani na hata wazazi.

Ndoa zetu tuzikabidhi kwa Mungu hakika yeye ni mwema atatufanyia wepesi daima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ujengwa kwa nyuzi 3 ambazo ni...

1.Mungu

2.Mume

3.Mke

Kwa bahati mbaya ndoa nyingi ufugwa na kamba mbili tu yaani Mume na Mke hii ni hatari sana.

"Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampiga, wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi" Muhubiri 4:12

Kwa muktadha huo kutokana na fungu hilo utaona hili uhusiano wa Mume na Mke uweze kuimarika zaidi utaitaji uwepo wa Mungu na si majirani na hata wazazi.

Ndoa zetu tuzikabidhi kwa Mungu hakika yeye ni mwema atatufanyia wepesi daima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haleluya
 
Kibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo.
Ila wakuu ndoa ngumu sanaa,bado sijaingia ila huyu manzi angu,anakujaga home nilipopanga ila akikaa wiki tu, tushagombana sanaa mavita kila sikuuuu, nampenda na yeye ananipenda ila daaah changamoto sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom