Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Tulia akunyooshe mkuu mbona wakati mnatokeana hukutuambia?
Mke Anafanya kosa barabarani anapigwa faini analeta malalamiko kwako mpaka unamwomba msamaha utadhani we ndo polisi ili mradi uwe zuzu asiendeleze mdomo mpate usingizi.





Dah umeongea point sana aseeShida hapo ni sisi wanawake tunawaza mambo yote kwa wakati mmoja wakati ninyi wanume mna-prioritise... hapo ndiyo kuna kelele. Sijui unaelewa. Wote wako sahihi kulingana na circuit za brain. Hiyo mkeo akikuambia jambo bado wewe endelea ku-prioritise. Jambo lisilo maan ignore na fanya ya maana kwa kuwa kaitka tunayofikiria yote kwa pamoja mengine hu-cancel each other .. kumbuka hii inakufa na hii na hii inakufa na hii unabaki na .. katika hesabu.
Hapa ndo unapokosea sasa . Mwanamke ukimpa nafasi ya kukupigia makelele kila mara na unakaa kinya hadi unajifanya mjinga kama ulivyosema kweli atakuona mjinga na hataacha . Mimi mwanamke akiongea ujinga kuna namna nikimwangalia anajua apa nipakukaa kimya maana kifuatacho hatakipenda. Mwanamme nikuwa na sauti juu ya mke wako sio mke wako anakua na sauti juu yakoMke Anafanya kosa barabarani anapigwa faini analeta malalamiko kwako mpaka unamwomba msamaha utadhani we ndo polisi ili mradi uwe zuzu asiendeleze mdomo mpate usingizi.
😂🤣😂🤣 jicho tu inatoshaHapa ndo unapokosea sasa . Mwanamke ukimpa nafasi ya kukupigia makelele kila mara na unakaa kinya hadi unajifanya mjinga kama ulivyosema kweli atakuona mjinga na hataacha . Mimi mwanamke akiongea ujinga kuna namna nikimwangalia anajua apa nipakukaa kimya maana kifuatacho hatakipenda. Mwanamme nikuwa na sauti juu ya mke wako sio mke wako anakua na sauti juu yako
Akiongea au ukihisi anaanza kuongea fanya hayaKibongobongo Ili ndoa idumu lazima mume ujifanye Zuzu aisee. Mdomo mdomo wa mke ndani ukimuendekeza mtabaki kuzozana day-in, day-out hakuna maendeleo.
Yaani Ile mke akiamka tu full kuongea tu mtu mpaka unajuta kubaki home na Corona hii.. jamani Kuna kinamama wanaongea aisee Tena NEGATIVITY tu hamna substance
Mule muleMke Anafanya kosa barabarani anapigwa faini analeta malalamiko kwako mpaka unamwomba msamaha utadhani we ndo polisi ili mradi uwe zuzu asiendeleze mdomo mpate usingizi.