Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,150
- 1,713
The secret of a happy marriage remains a secret
Bahati mbaya siwezi like kupitia hii kimeo ila ulichoandika ni kweli sana. Halafu hata hao wachache walioweza hawana uwezo wakuwapa hio siri wengine. Hehe. Mimi hata sijihangaishi kufwatilia wala kushauri! Hamnaga logic.