Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,824
si ndio nimejifunza mkuu, lile tukio lilinifundisha mengi, so nikitoa ujumbe kwa wenzangu sio mbaya pia.Mmmh!!! mbona wewe kwa Mkurya ulishindwa kufanya hayo uloandika?
si ndio nimejifunza mkuu, lile tukio lilinifundisha mengi, so nikitoa ujumbe kwa wenzangu sio mbaya pia.Mmmh!!! mbona wewe kwa Mkurya ulishindwa kufanya hayo uloandika?
hii ni kweli si hekaya za abunuwasi, kuna jamaa anaishi na mkewe yaani huyu mwanamke anamdharau sana jamaa ukizingatia jamaa yuko vizuri namaanisha ana elimu nzuri,ana kazi pia, mkewe nae amesoma pia ana kazi, jamaa kaokoka pia ni mpole sana sasa jumapili mkewe kafanya fujo sana usku kavunja vitu vya ndani kama tv lcd,radio nk kisa cha kijinga eti mda wa kulala umefka jamaa kazima taa mkewe kwa kisirani kaamka kawasha,jamaa kazma tena pia mkewe kaamka kawasha kilichofuata jamaa kachomoa taa kaiweka chini namaanisha tubelight hapo ndipo mkewe kaanza vunja vitu ndani, asubuhi jmatatu jamaa kaamka kaenda kazini karudi jioni kakuta mkewe kaondoka na mtoto hajarudi mpaka leo,msimamo wa jamaa kasema hamtafuti wala ahangaiki naye akitaka arudi au aende jumla,zaidi jamaa katoa angalizo mtoto wake asirudi ana kasoro kwani bado mdogo ana miezi 6 tu. JAMANI KINA MAMA TULIENI KWENYE NDOA ZENU, wadau mnashauri nini?
hizi ndoa hizi ndio maana wengine tunachelewa kuingia humo, hakutabiriki
hii ni kweli si hekaya za abunuwasi, kuna jamaa anaishi na mkewe yaani huyu mwanamke anamdharau sana jamaa ukizingatia jamaa yuko vizuri namaanisha ana elimu nzuri,ana kazi pia, mkewe nae amesoma pia ana kazi, jamaa kaokoka pia ni mpole sana sasa jumapili mkewe kafanya fujo sana usku kavunja vitu vya ndani kama tv lcd,radio nk kisa cha kijinga eti mda wa kulala umefka jamaa kazima taa mkewe kwa kisirani kaamka kawasha,jamaa kazma tena pia mkewe kaamka kawasha kilichofuata jamaa kachomoa taa kaiweka chini namaanisha tubelight hapo ndipo mkewe kaanza vunja vitu ndani, asubuhi jmatatu jamaa kaamka kaenda kazini karudi jioni kakuta mkewe kaondoka na mtoto hajarudi mpaka leo,msimamo wa jamaa kasema hamtafuti wala ahangaiki naye akitaka arudi au aende jumla,zaidi jamaa katoa angalizo mtoto wake asirudi ana kasoro kwani bado mdogo ana miezi 6 tu. JAMANI KINA MAMA TULIENI KWENYE NDOA ZENU, wadau mnashauri nini?
I hope you are the right one for me unless you are occupied sisterMwanajeshi hodari haogopi vita..
Labda useme haujapa unayemtaka...
usiogope bana, kuna wanaofurahia maisha ya ndoa sana tu. cc nyumba kubwa.
Eeeh huyo jamaa nae kazidi uboya unajua smtyms wanawake nasi tunapenda kujaribu wat tuone watafanyaje...tia kipigo ambacho hatokisahau maishan mwake akianza kulialia kamata kwa nguvu weka kifuani kwikwi zikiendelea tia dushelele kaza kiuno kwel kweli kesho ukirud kazini mletee zawad anayoipenda yatakuwa yameisha... Cku nyingine akianza ngebe zake akikumbuka tuu kile kipigo mjarabaa lazma atulie
kigezo cha busara ya maneno yako. Au nimekosea sister ?Hahaaa umetumia kigezo kipi..?
Shida ilikuwa kuzima taa na kuwasha au kuna mengine umeficha? hebu weka yote bwana haiwezekani hiyo ikawa sababu ya mwanamama kuondoka,kwanini huyo mwanamke alikuwa anataka taa iwe on wakati ni muda wa kulala?hii ni kweli si hekaya za abunuwasi, kuna jamaa anaishi na mkewe yaani huyu mwanamke anamdharau sana jamaa ukizingatia jamaa yuko vizuri namaanisha ana elimu nzuri,ana kazi pia, mkewe nae amesoma pia ana kazi, jamaa kaokoka pia ni mpole sana sasa jumapili mkewe kafanya fujo sana usku kavunja vitu vya ndani kama tv lcd,radio nk kisa cha kijinga eti mda wa kulala umefka jamaa kazima taa mkewe kwa kisirani kaamka kawasha,jamaa kazma tena pia mkewe kaamka kawasha kilichofuata jamaa kachomoa taa kaiweka chini namaanisha tubelight hapo ndipo mkewe kaanza vunja vitu ndani, asubuhi jmatatu jamaa kaamka kaenda kazini karudi jioni kakuta mkewe kaondoka na mtoto hajarudi mpaka leo,msimamo wa jamaa kasema hamtafuti wala ahangaiki naye akitaka arudi au aende jumla,zaidi jamaa katoa angalizo mtoto wake asirudi ana kasoro kwani bado mdogo ana miezi 6 tu. JAMANI KINA MAMA TULIENI KWENYE NDOA ZENU, wadau mnashauri nini?
mbona hii haya bana ya kinyonge sana, mimi nimefunguka liveHaya bwana
mbona hii haya bana ya kinyonge sana, mimi nimefunguka live
kuna wakati wanapatana kabla ya muda wa mavunowapendanao wakigombana chukua jembe ukalime, wakipatana chukua kapu ukavune mazao yako yatakuwa yameshakomaa.......
shida ilikuwa kuzima taa na kuwasha au kuna mengine umeficha? Hebu weka yote bwana haiwezekani hiyo ikawa sababu ya mwanamama kuondoka,kwanini huyo mwanamke alikuwa anataka taa iwe on wakati ni muda wa kulala?