Ndoa Inavunjika Hiyo!

STory ya mke ...kwanini anachepuka na childhood friend..natamani tungepata sababu

Smtime tusikasirike kwanza
Tuulize WHY are u doing this?
Mpe mda atoe majibu
 
STory ya mke ...kwanini anachepuka na childhood friend..natamani tungepata sababu

Smtime tusikasirike kwanza
Tuulize WHY are u doing this?
Mpe mda atoe majibu
Mume sio "romantic" hata akiandika sms anajibu kirahisi.
Mume sio lovely hata hajui kumperemba mke
Mume anajali sana, hakuna anachotaka akakosa
Mke kamchoka mume maana hajawahi piga simu
Akipiga ujue kuna matatizo yanayotaka nafasi ya mume
LadyRed wanawake wengi (68%) wameolewa na wanaume wasiowapenda. Huyo ameolewa akiwa na 29. Nahisi alichangamkia FURSA tu. Kwanini hakuolewa na MHADHIRI, sijui.

Nachokiona; Hampendi mshikaji nadhani

Bazazi

.
 

Nakazia hapa

Cc Kingsmann
 
Mi kuishi na mwanamke aina hii siwezi atanitafutia matatizo ya kununua gunia mbili za mkaa mgomba
 
Mkuu nimekuelewa sana kuna kitu nimekigundua kupitia komenti yako, itakuwa kuna shida hapo inawezekana baba alifanya kosa kwa mkewe sasa mama akaona usiwe tabu ngoja nitafute jamaa yangu wa ujana hili nitulize moyo mwisho wa siku jamaa kagundua text mambo yakawa wazi
 
Unaoa mwanamke asiye na bikra bado ujiite mwanaume mwenye akili.

Sijui vijana mtanielewa Lini.

Nimeongea mpaka basi lakini wapi.

Sitochoka kuwausieni
Kuna vijana wanaoa masingle maza sembuse asiye na bikra

Someni mwongozo wa kanuni na sheria
 
Ndo madhara ya mwanaume kukomaa kuoa anaempenda ...nadhani ni bora kupendana

Ila miaka 15 ni mingi wayajadili ...upendo hauwezi kuwa 50/50 mda wote
Kuna 80/20 ama 60/40 mda mwingine...tuvumiliane
 
Wanaume kuchepuka halali
Ila mke kupoza injini kidogo kesi
Ikishajulikana umeharibu kila kitu. LadyRed, chepuka isijulikane. Ikijulikana unalo na lako hilo lazima uhangaike nalo. Ktk kisa hiki, mahusiano yalianza upya July, 2018, mume kajua Agost, 2019. Kabla ya kukumburukiwa, nini kilikuwa shida?

Fikiri kwa hekima ili usiongozwe na mihemko

Bazazi!
 
From my point of view Jamaa yaani mchepuko ni mtu mstaarabu, shortly genius.. Kama mtu mwenye akili huwezi kutaka kuvunja ndoa ya watu iliyodumu kiasi hiko.
Somo lingine hapa dada zangu mjifunze.. wanaume zenu wa huko nje huwa wanataka uchi tu.. hawapo tayari kuchukua majukumu..kuchepuka kusikufanye umshushie thamani mumeo!

Kwa upande wa mwanaume aendeleze gambe..asivunje ndoa..hakuna mwanamke atakuwa wa peke yake, avumilie safari waifikishe salama!

Khan!
 
Mke ajitahidi amuombe msamaha wayajenge
 
Word
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…