Ndoa inanishinda, naomba mnishauri kisheria

Una watoto wamgapi na kwanini unaohopamku,wacga mbona anataka kuachwa huyoo au ongeza mke mwingine atakuwa na adabu
Kaka kutokana na migogoro mke wangu aliwahi fika kazin kwangu na kueleza uongo ili awe anapewa nusu mshahara, baada ya kupangua hilo na ofisi kuthibitisha kuwa sio kweli! Lakin pia nimekuwa nikitishiwa nae kwa atanikomoa hali ambayo imepwlekea nikae nae mbali lakin akiwa nyumban kwetu na huduma zote anapata lakin ammekuwa mtu wa kuendeleza ugomvi huku akilazimisha kukaa pamoja ambapo hapo cjaua anajiandaa kunikomoa kwa njia gan.Baada ya hapo nilifatilia ili nijue kaanzaje kufika kazin ndipo nilithibitisha kuwa ni maagizo ya wazaz wake ambapo wazaz wake niliingia mgogoro nao baada ya kukataa kuwanunulia viti yaani sofa kwan hawakutimiza makubaliano
 
Kwanz
Yani umeandika vyema especially hiyo #3 naomba nikuunge mguu kabisa.

Yani umbwage mkeo kwa wazazi wako; wewe unadananda kwa ndugu; ni kwamba hana hela ya kodi au kuna tatizo? (Though naona kabisa hapa kodi sio shida kwake). Shida yote hiyo ya nini kumkosesha uhuru mkewe kwa wakwe zake? And of course wanawake wa kinyaki ni controlling kama tu walivyo wachaga; so naimagine mtifuano humo ndani

Afu jamani siku hizi mambo ya uzazi kila mume apambane na mkewe; azalie hapo hapo nyumbani kwao; kama atahitajika uangalizi basi huyo muangalizi aje hapo hapo nyumbani. Mambo ya kulazimishana sijui mila za kwetu zinatakaje tuyaache.
A si kweli kinamkiyu anakifocha uoe wewe halafu mke akake kwa wazazi wako kulikoni wekamwazinkama una mke wmingine
 
Nadhani tatizo limeanzia ulipoiacha familia kwa wazazi wako, kukwepa kumdhiti mkeo na kuwaachia huo mzigo wazazi wako/mama yako
 
Kuna kitu kinafichwa hapa wewe mtoa mada umeeeleza as if mkeo kawa mwehu na kuanza kuyafanya hayo yote uliyoandika ila umesahau kutueleza ni chanzo cha kuwa hivyo na mara nyingi chanzo kikuu ni wewe(mume)
 
Mwenzangu nako siku hizi kuna wanaume basi.................. Basi bora liende............ mwanaume hata wajibu wake hauelewi kabisa

Mimi kukaa kwa wakwe ni mwiko kabisa sithubutu wala kujaribu sitaki shida kabisa tunakaa ile ya hamu ama week, mwezi basi mambo ya kudhalilishana
Matatizo mengine tunajitafutiaga; kwa nini asikae na mkewe?
 
Mzee Amini Usiamini kilichosababisha ukahatafisha ndoa ni mambo makuu Mawili,
1.Una Mahusiano mabaya na wakwe zako, huko kutowafanyia kitu watakacho pengine wakiamini kuwa unacho ndicho kilichopelekea kuwepo hapo ulipo leo, kwa maana sasa na wao wanakumomoa kupitia binti yao,

2.Akili mbovu za mke wako ambazo ameziacha wazi kutumika na wazazi wake, inavyoonekana wazazi wa binty wanainfluence kubwa kwenye maamuzi ya binty yao, mkeo hawezi kuamua lolote litokanalo na ndoa yake ispokuwa kwa ushauri wa wazazi wake,

Kimsingi Mzee umeoa mwanamke asiyekuwa huru na mwenye Akili tatu, Amini usiamini ndoa yako imeshikwa ukweni, leo binty akiambiwa na wazazi wake rudi kwa mumeo ukatulie basi utapata mke,

Ikiwa unaitaka ndoa yako na kama bado wampenda mke wako, basi rudi kwa wakwezo kawekane nao sawa uwe mtumwa wao, hapo utapata mke,

Kuendelea kujifanya kiburi hiyo NDOA utaiskia tu kwenye clouds TV,

Labda nikuulize wewe ni DINI GANI?
Huu ushauri sio kabisa.
Kumshauri jamaa akuli kuendeshwa na wazazi wa mke!!
Pili inaweza kuwa shida ni mama yake mleta mada hii.
Inaweza kuwa huyu jamaa maisha yake ya ndoa yanaendeshwa na mama yake. Kama ni hivyo mwanamke yeyote hawezi kukaa nae kwa amani.
 
Back
Top Bottom