Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Mweeh unataka twende byrebure[emoji17]Mimi naona haina maana, ni upotevu wa rasilimali tu.
Mweeh unataka twende byrebure[emoji17]Mimi naona haina maana, ni upotevu wa rasilimali tu.
nikiwaza kuoa moyo unakua mzito kutoa maamuzi.Mkuu na sisi wanaume tumezidi kujionyesha tunazo "surplus" ndio maana hawa wadada wana-connect dot na kutukomoa.
Hivi majuzi nilitoka kumlipia mahari rafiki yangu,majina nayatunza kwa wote wawili.Nilienda kama mshenga mkoa wa klm huko maeneo ya machame kuna kasehemu sipajui vizuri lakini tulifika kwenye kahospitali nilikashika jina,kameandikwa NSHARA COMMUNITY MEDICAL CENTER,ndiyo mahali ambapo tulifika tukachepuka kwenye kanjia kakushukia huko chini.Njia haikuwa nzuri sana na hata hivyo tulikuwa na convoy kubwa magari 8, kadri jamaa alivyoweza kushawishi marafiki wengi wamsindikize.ikabidi tupaki vyombo vyetu vya usafiri kama mita 30 kutoka hapo ukweni.
Tulikaribishwa kwa taratibu zao wenyewe huko,japo wengi tulikuwa wapendwa hatutumii kata wala yale maandishi manne "Beer" hayo tuliwaachia wenyeji wetulakini kwenye nyama choma tulihusika sana,kiasi cha kuridhika. Shughuli ilipamba moto pale tulipoomba watutajie mahari, tulipe kiasi Fulani halafu kwakuwa tulikuwa na haraka ya kufunga ndoa tukataka pia kuomba watupe tarehe ya kuja kuoa,maana hilo jambo walisha lizungumza waoanaji wakakubaliana,mahari itajwe ilipwe kiasi kikubwa ibaki kidogo na. mwezi wa ndoa utajwe hata kama ni miezi mitatu au minne ijayo.
Wazazi wakaenda chemba na mshenga wao wakaja na jibu la mahari wanataka milioni sita na nusu,hapo uondoe makorokoro mengine ambayo yanagharimu karibu milioni tatu na nusu.lakini hayo yaletwe interms of items not money tukishindwa tuwape cash wakafanye manunuzi wenyewe. Mimi huwa ni bingwa wa kubageni mahari na most of my friend wananitumia kama mshenga na pia msimamizi wao lakini. to my best siku ile waligoma kushusha kabisa, wakesam labda yale makorokoro lakini mahari yao haishuki. Wenyewe tulijipanga na mil.2.5,halafu yule dada alikuwa anatembea na bosi wake yule kijana.aliyeondolewa kwa kashfa ofisin jijini.mimi nilimshauri rafiki yangu amuoe kwakuwa ameokoka atabadilika.
Kumbe yeye ndiye aliyechonga deal wasishushe mahari kwakuwa mpenz wake alikopa 10m za ujenz wa nyumba kwenye kiwanja chake huko Goba.Jamaa alinilaumu kwa nini nimemshawishi aoe mtu ambae anatoa siri zao kwa wazazi ili wamkomoe,wakati maisha watapata tabu wote wawili.nilimtia moyo turudi tukajipange.Mmoja kati ya wasindikizaji akaingilia na kusema hiyo ni bei ya kiwanja kikubwa sana Bonyokwa na Kinyerezi kama mmekataa tunarudi mjini tukajipange na Ndoa mpaka leo ipo hatiani.
Mchumba yaani yule mdada alikuwa akiona magari anayobadilisha rafiki yetu na wazazi waliwahi kumtembelea mjini wakapelekwa Jangwani Sea breez.mlimani city.wakarudishwa na laki 5 kila mmoja.na kale kamkopo kalimponza.
Tuache kuonyesha uwezo mkubwa kwa hao wachumba zetu wakina kaka ambao bado hamjaoa na hata baada kwa wake zetu ishini maisha ya kawaida.
Yan mahari ya mwanamke kimeo ndo mtu unapigwa hela nyingi?? Duh! sijui ni lini hii dunia itakua fairloooh!kumbe kuna wadada wenzangu wakatili hivyo?
Na wazaz siku hiz wamegeuza biashara!
Si kwetu hata hapa mtaani kwetu mabibo kuna mabinti tumejitunza wala sio viruka njia na dini tumeshika..mahari hawafikishi million aisee..Ni unyonyaji huo!
unalalamika tumillioni tuwili tu wakati watu tunatoa hadi n'gombe 70 plus ukiconvert kwa pesa si 15 milion plus? kuwa serious bwana we au mke mwenyewe chinese made product?Kitambo men married women who
were virgins and the dowry they
gave was yams, honey and some
goats.
In 2016, a girl broke her virginity at
12yrs, and you are her 47th
boyfriend. Her parents asks for 2
million as dowry. Kwani wanauza
experience......??? huu ujinga
Mmmmhhhh......yaan ni shida kila ki2 mnataka kuwa sawa ....yatawashind mana mnakuwa kama mnashindan na munguWewe unayetaka kuoa virgin,ni virgin?
SawaMmmmhhhh......yaan ni shida kila ki2 mnataka kuwa sawa ....yatawashind mana mnakuwa kama mnashindan na mungu
Mkuu na sisi wanaume tumezidi kujionyesha tunazo "surplus" ndio maana hawa wadada wana-connect dot na kutukomoa.
Hivi majuzi nilitoka kumlipia mahari rafiki yangu,majina nayatunza kwa wote wawili.Nilienda kama mshenga mkoa wa klm huko maeneo ya machame kuna kasehemu sipajui vizuri lakini tulifika kwenye kahospitali nilikashika jina,kameandikwa NSHARA COMMUNITY MEDICAL CENTER,ndiyo mahali ambapo tulifika tukachepuka kwenye kanjia kakushukia huko chini.Njia haikuwa nzuri sana na hata hivyo tulikuwa na convoy kubwa magari 8, kadri jamaa alivyoweza kushawishi marafiki wengi wamsindikize.ikabidi tupaki vyombo vyetu vya usafiri kama mita 30 kutoka hapo ukweni.
Tulikaribishwa kwa taratibu zao wenyewe huko,japo wengi tulikuwa wapendwa hatutumii kata wala yale maandishi manne "Beer" hayo tuliwaachia wenyeji wetulakini kwenye nyama choma tulihusika sana,kiasi cha kuridhika. Shughuli ilipamba moto pale tulipoomba watutajie mahari, tulipe kiasi Fulani halafu kwakuwa tulikuwa na haraka ya kufunga ndoa tukataka pia kuomba watupe tarehe ya kuja kuoa,maana hilo jambo walisha lizungumza waoanaji wakakubaliana,mahari itajwe ilipwe kiasi kikubwa ibaki kidogo na. mwezi wa ndoa utajwe hata kama ni miezi mitatu au minne ijayo.
Wazazi wakaenda chemba na mshenga wao wakaja na jibu la mahari wanataka milioni sita na nusu,hapo uondoe makorokoro mengine ambayo yanagharimu karibu milioni tatu na nusu.lakini hayo yaletwe interms of items not money tukishindwa tuwape cash wakafanye manunuzi wenyewe. Mimi huwa ni bingwa wa kubageni mahari na most of my friend wananitumia kama mshenga na pia msimamizi wao lakini. to my best siku ile waligoma kushusha kabisa, wakesam labda yale makorokoro lakini mahari yao haishuki. Wenyewe tulijipanga na mil.2.5,halafu yule dada alikuwa anatembea na bosi wake yule kijana.aliyeondolewa kwa kashfa ofisin jijini.mimi nilimshauri rafiki yangu amuoe kwakuwa ameokoka atabadilika.
Kumbe yeye ndiye aliyechonga deal wasishushe mahari kwakuwa mpenz wake alikopa 10m za ujenz wa nyumba kwenye kiwanja chake huko Goba.Jamaa alinilaumu kwa nini nimemshawishi aoe mtu ambae anatoa siri zao kwa wazazi ili wamkomoe,wakati maisha watapata tabu wote wawili.nilimtia moyo turudi tukajipange.Mmoja kati ya wasindikizaji akaingilia na kusema hiyo ni bei ya kiwanja kikubwa sana Bonyokwa na Kinyerezi kama mmekataa tunarudi mjini tukajipange na Ndoa mpaka leo ipo hatiani.
Mchumba yaani yule mdada alikuwa akiona magari anayobadilisha rafiki yetu na wazazi waliwahi kumtembelea mjini wakapelekwa Jangwani Sea breez.mlimani city.wakarudishwa na laki 5 kila mmoja.na kale kamkopo kalimponza.
Tuache kuonyesha uwezo mkubwa kwa hao wachumba zetu wakina kaka ambao bado hamjaoa na hata baada kwa wake zetu ishini maisha ya kawaida.
wakati huu ni wakuwa muwazi tu..kama biashara haijafilisika..mahar kubwa ndoa inakua tia maji tia majiHa
Nafikiri hao wazazi hawajawahi kukutana na vichaa. Maana me ningewaambia wamwoe wenyewe. Ningechukua watu wangu na kuondoka tu wala nisingerudi nyuma. Milioni sita. Watakuwa wanaumwa. Na nyie malipata wapi muda wa kuwabembeleza?
Tupo wengi mkuu.nikiwaza kuoa moyo unakua mzito kutoa maamuzi.
Ni kwavile hao wazazi wako vizuri mentally n perhabs economically.Roho mbaya tuuu, juzi tumepeleka sehemu mahari laki tano, .....mtoto ana masters , corporate manager wa shirika , ana mkwanjaaa balaaa, wazazi hawakutaka hata mahari bembeleza bembeleza wakachukua laki5
Kwa hiyo wazazi masikini ndio wanataka mkwanja mrefu?Ni kwavile hao wazazi wako vizuri mentally n perhabs economically.
Sasa unafikiri kinachowafanya watake mkwanja mrefu ni nini?Kwa hiyo wazazi masikini ndio wanataka mkwanja mrefu?
Jamani utakaa na mtu wako Mfano mwaka usijue uwezo wake kiuchumi, afu hela kuna muda haijifichi jamani. Kaka hana kosa, ni upumbavu wa huyo mwanamke. Na inavyoonekana hampendi huyo kaka, wakioana huyo kaka atachunwa hadi ajute. Shameless woman, unamkomoa mtu ambaye unatarajia kuishi naye for the rest of your lives khaaaaSasa hapo kuna ndoa tena kweli?
Kaka akome kujionyesha japo kwa upande mwingine nae mke mtarajiwa ana makosa yake
Tatizo sio lake tatizo damu,(mmachame). Hawa wako tayar kwa lolote just because of moneyJamani utakaa na mtu wako Mfano mwaka usijue uwezo wake kiuchumi, afu hela kuna muda haijifichi jamani. Kaka hana kosa, ni upumbavu wa huyo mwanamke. Na inavyoonekana hampendi huyo kaka, wakioana huyo kaka atachunwa hadi ajute. Shameless woman, unamkomoa mtu ambaye unatarajia kuishi naye for the rest of your lives khaaaa