Ndoa imekuwa biashara wakati hamna bikra

Ndoa imekuwa biashara wakati hamna bikra

Jamani utakaa na mtu wako Mfano mwaka usijue uwezo wake kiuchumi, afu hela kuna muda haijifichi jamani. Kaka hana kosa, ni upumbavu wa huyo mwanamke. Na inavyoonekana hampendi huyo kaka, wakioana huyo kaka atachunwa hadi ajute. Shameless woman, unamkomoa mtu ambaye unatarajia kuishi naye for the rest of your lives khaaaa
Ingekua ni uwezo wangu ningemwambia huyo kaka aachane na huyo mwanamke. She is not wife material

Ila kaka nae ujue anatakiwa ajirekebishe upande wa matumizi
 
Ingekua ni uwezo wangu ningemwambia huyo kaka aachane na huyo mwanamke. She is not wife material

Ila kaka nae ujue anatakiwa ajirekebishe upande wa matumizi
Hahaha ujue wanawake kuna muda hatuna jema, mtu akiwa akikuhudumia kosa, akikuhudumia ni kosa pia. Mtu ana hela jamani, kama anaspend reasonably kuna tatizo gani?. Huyo dada ni mchunaji mpumbavu tu period. Na atakosa vyote
 
Sikuhiz mpaka siamini kama watt wakike wanazaliwa na bikra maana sijawah kutana nazo na story za bikra sikuhiz kijiweni zimepotea sasa cjui nan anazivunja au zinatoka zenyewe....dah mambo yamebadilika sana
 
Tatizo sio lake tatizo damu,(mmachame). Hawa wako tayar kwa lolote just because of money
Na hao ndo wanafanya wamachame wengi waonekane hawafai. Kuolewa na mwanaume mwenye hela mbona ingemtosha tu, ndo hadi umchune mchumba khaa
 
Hahaha ujue wanawake kuna muda hatuna jema, mtu asipokuhudumia kosa, akikuhudumia sana kosa pia. Mtu ana hela jamani, kama anaspend reasonably kuna tatizo gani?. Huyo dada ni mchunaji mpumbavu tu period. Na atakosa vyote
Simaanishi asimuhudumie mpenziwe,nilimaanisha hapo kwa wakwe,jamaa amesema wakwe wakija wanaspend then anawapatia laki5 juu.

Hebu ngoja nirudie kusoma ukute nimechanganya mafail
 
Iwekwe shuka nyeupe...shangazinakae nje asubiri tukio liishe aje achukue shuka apige kigelegele walaiiii milioninkumimnatoa kama kuna damu
Hiyo ndio ilileta thamani halisi ya mwanamke, kuoa mtu bikra ina maana amejitunza, ana thamani kubwa kwa mume na jamii pia. Shuka linatandikwa, gemu inapigwa, damu inatoka, mama anapewa zawadi ya matunzo. Sasa leo unampa mama zawadi ya nini...kulea mtoto aliyeharibiwa?

She's pure...huyo ndio anatolewa mahari na ni haki yake kabisa. Kizazi cha leo, kutoa mahari ni upotevu wa rasilimali za vijana.
 
Simaanishi asimuhudumie mpenziwe,nilimaanisha hapo kwa wakwe,jamaa amesema wakwe wakija wanaspend then anawapatia laki5 juu.

Hebu ngoja nirudie kusoma ukute nimechanganya mafail
Hivi jamani laki 5 sasa hivi inamfikisha mtu wapi hadi kumpa mkwe laki 5 iwe ni over-spending? Mbona kwa mtu mwenye hela laki 5 si kitu kwake, tena kuwapa wakwe zake jamani, angewanunulia gari je?!!!. Mtu ana magari, asibadilishe kisa kumuhofia msichana wake mmmh. That girl is a dumb b, ngoja aende atakapopewa mia 2 ndo akili itamkaa.
 
Hivi jamani laki 5 sasa hivi inamfikisha mtu wapi hadi kumpa mkwe laki 5 iwe ni over-spending? Mbona kwa mtu mwenye hela laki 5 si kitu kwake, tena kuwapa wakwe zake jamani, angewanunulia gari je?!!!. Mtu ana magari, asibadilishe kisa kumuhofia msichana wake mmmh. That girl is a dumb b, ngoja aende atakapopewa mia 2 ndo akili itamkaa.
My dear sikatai wazazi wangu kuhudumiwa na mkwe wao lakini ni lazima tuangalie upande mwingine. Hizo laki5 kuwapa kila mara za nini?

Halafu ukiangalia pesa zenyewe zilikua za mkopo,pale mwanamke alipaswa kua upande wa mumewe alinde pesa za mumewe kutoka bila mpangilio, amshauri kwamba mume wangu ee taratibu na hela tuna 1,2,3 vya kufanya

Badala yake mwanamke akamgeuza mumewe buzi anaona mume anaendekeza spending wala hajali.
 
Waschana wengne kujitunza ni msamiati mgumu kwao, hao ukiamua kumuoa hamna haja ya harusi, unatoa taarfa tu kuna mtu unaishi naye
 
My dear sikatai wazazi wangu kuhudumiwa na mkwe wao lakini ni lazima tuangalie upande mwingine. Hizo laki5 kuwapa kila mara za nini?

Halafu ukiangalia pesa zenyewe zilikua za mkopo,pale mwanamke alipaswa kua upande wa mumewe alinde pesa za mumewe kutoka bila mpangilio, amshauri kwamba mume wangu ee taratibu na hela tuna 1,2,3 vya kufanya

Badala yake mwanamke akamgeuza mumewe buzi anaona mume anaendekeza spending wala hajali.
Vale my dear, nahisi huyo mkaka hizo kilo 5 tano aliwapa tu walivyokuja town na haikuwa hela ya mkopo. From maelezo, mkaka anajiweza na hata familia iliyotoka pia iko poa. Kwa hiyo spending za hapa na pale si haba kwake.

Huyo mdada wa kumchuna mwenzie hela ya mahari, ndo atamwambia baby tufanye hiki na kile!!!, mmmh labda ataomba tu apewe hela ya shopping. Yupo kibiashara so atawaza tu maendeleo yake binafsi
 
Vale my dear, nahisi huyo mkaka hizo kilo 5 tano aliwapa tu walivyokuja town na haikuwa hela ya mkopo. From maelezo, mkaka anajiweza na hata familia iliyotoka pia iko poa. Kwa hiyo spending za hapa na pale si haba kwake.

Huyo mdada wa kumchuna mwenzie hela ya mahari, ndo atamwambia baby tufanye hiki na kile!!!, mmmh labda ataomba tu apewe hela ya shopping. Yupo kibiashara so atawaza tu maendeleo yake binafsi
That's right my dear... Huyo dada hafai kwa matumizi ya ndoa. Ni mfilisi ndio ile unaoa mke inakua kama umekaribisha mkosi
 
Roho mbaya tuuu, juzi tumepeleka sehemu mahari laki tano, .....mtoto ana masters , corporate manager wa shirika , ana mkwanjaaa balaaa, wazazi hawakutaka hata mahari bembeleza bembeleza wakachukua laki5
Kabira gani mkuu???
 
Mm bwana sibabaiki na papuchi Kama mahali inafika million mbili demu Huyo ajiandae kujioa mwenyewe I have no time kubembeleza siku si nyingi VISA na mikasa mnakuja kusumbua watu hapa JF
 
wanawake wa miaka hii ukigusia neno bikra wanakimbilia kusema kwaani wewe ni bikra wanasahau kwamba MUNGU ana makusudi yake na hata vitabu vya Mungu havija msema mwanaume bali mwanamke


Lkn ni kutokuwa na akili kwa maana kama wewe unategemea mwanamke awe bikira lkn wewe unasema ni sawa usipokuwa bikra, sasa kama unalala na wasichana kabla ya kuwaoa iweje utegemee kuja kuoa mwanamke bikra? Au wewe huwa huwa unalala na wanaume labda? Kwa maana kama ni wanawake basi ni ujinga kutegemea umkute bikra wkt wewe hulala nao!
 
Kitambo men married women who
were virgins and the dowry they
gave was yams, honey and some
goats.
In 2016, a girl broke her virginity at
12yrs, and you are her 47th
boyfriend. Her parents asks for 2
million as dowry. Kwani wanauza
experience......??? huu ujinga
Gharama za maisha ndio maana. Expriens ya kuwa na kiwango kizuri cha juu na kukumudu ktk kufanya tabia mbaya pia ndio inaongezesha gharama
 
Her parents asks=her parents ask,2 Million=2 millions.unapenda sana post za kuchanganya lugha wewe,kingereza chenyewe kinakuzengua upande wa sarufi
 
Back
Top Bottom