Ndoa ikiwa changa raha sana

Ndoa ikiwa changa raha sana

Wengine makelele ndio asili yao. Ilimradi tu akukere.
Ulitakiwa kujua hilo kabla ya kuingiza ndani jumla, kama umegundua asili yake ni kelele wakati umeshaoa huna budi kuvumilia ndio maana sisi wakristo huwa tunasema for better and worse...means kila aina ya madhaifu utayabeba na kuyavumilia
 
Ndoa ni changa kila siku,hata mkiwa na watoto 10, ukiweka hiyo akilini huwezi kujuta kuingia kwenye ndoa

Kuna mbinu nyingi sana za kuifanya ndo iendelee kuwa changa

Tatizo vijana wa siku hizi ukishatoka honeymoon tayari unatafuta kamchepuka, halafu unaanza kuona kama ndoa yako imezeeka

Kwenye ndoa kila siku ni honeymoon na kila siku mwenzio ni mpya...

hii ni applicable kwa sisi wenye miaka 50 kwenda juu, vijana wa siku hizi hawawezi
Mkuu si unajua umri ukisogea ngozi inakuwa oversize na damu inakuwa ya baridi, hata yale mashamsham yanapungua; ndio maana wengine uamua kuchepuka kutafuta damu moto.
 
Ni kweli mkuu halafu kwenye account kuwe na comma za kutosha ,nje umepaki mikoko kama mitatu hivi halafu abdallah kichwa wazi awe na nguvu za kutosha.
Tusiokuwa na hivyo vitu hatukuelewi mkuu
 
Mkuu si unajua umri ukisogea ngozi inakuwa oversize na damu inakuwa ya baridi, hata yale mashamsham yanapungua; ndio maana wengine uamua kuchepuka kutafuta damu moto.
Hata hao michepuko damu ndogo nao watafikia umri wakuchoka

Wanaume mnashauriwa kuoa wanawake ambao mmewazidi umri atlist level ya 5-10 atlist inasaidi mama anakua na nguvu hata kwa kipindi ambacho bado damu ya mzee inachemka
 
Mkiwa wawili tu hamnaga tatizo mbona, hela ikiwepo ya kukidhi mahitaji yenu bila shida actually kula tu na bills za maji na umeme na mafuta hapo huwa hamna tatizo.

Wacha ada zianze kulipwa pale na majukumu ya utafutaji yakiongezeka.
Majukumu yakizidi ndio uleta makelele ndani
 
Hata hao michepuko damu ndogo nao watafikia umri wakuchoka

Wanaume mnashauriwa kuoa wanawake ambao mmewazidi umri atlist level ya 5-10 atlist inasaidi mama anakua na nguvu hata kwa kipindi ambacho bado damu ya mzee inachemka
Aiiii....

Nani kasema hvyo...? Inategemea na nature ya mtu kunawanawake wengne wanamiili mibaya yaani miili yao inaporomoka vibaya aisee...hasa wakisha zaa.

Ila kuna wengne adi raha ata wazae watoto watatu bado wapo vigori mwanamke anamiaka 40+ lakini bado anamvuto hatari...

NB:- bado sijaoa
 
Aiiii....

Nani kasema hvyo...? Inategemea na nature ya mtu kunawanawake wengne wanamiili mibaya yaani miili yao inaporomoka vibaya aisee...hasa wakisha zaa.

Ila kuna wengne adi raha ata wazae watoto watatu bado wapo vigori mwanamke anamiaka 40+ lakini bado anamvuto hatari...

NB:- bado sijaoa
Umenichekesha higo NB yako hapo chini, wamekusikia
 
Chanzo cha makelele ndani huwa ni nini haswa,kwa upande wa mwanamke?
Sijui unapozungumzia makelele unazungumzia nini, naamini kila ndoa ina changamoto lakini pia kuna namna ya kutatua changamoto kwa upendo na hekima padipo kumfanya mwenzi wako ajisikie kudharaulika au ajute kwa namna moja au nyingine

Wanaume wengi si wepesi kujishusha hata wanapokosea, changamoto inakuja pale mwanamke anaposhout au kutumia lugha ya dharau/ubabe anapoona mwezie amekosea au hata anapohitaji kitu kutoka kwa mwenzi badala ya kutumi kuuliza kwa unyeyekevu

Trust me, mwanaume ni mwepesi sana kwa mwanamke, ila kama tu ukijua lugha ya kuzungumza nae, vilevile kwa mwanamke, kuna lugha ambazo pia wanaume mnapaswa kuzitumia kwa wake zenu especially pale unapokua umefanya jambo ambalo unajua limemuudhi au kumkwaza kwa namna moja au nyingine,

Watu mnaolala kitanda kimoja na kishare miili yenu hampaswi kupigizana kelele bali mnapaswa kuelewana
 
Majukumu yakizidi ndio uleta makelele ndani
Yani usiombe mzee baba, hali ya hewa huchafuka ghafla. Mwisho unaanza kufanya vile vya priority mwanamke anafosi vya kwake inakuwa vurugu mechi minuno na kelele.🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom