Ndoa ikiwa changa raha sana

Ndoa ikiwa changa raha sana

Una maana gani unaposema mzigo wa maana
haya...
sate.jpg
 
Mkiwa mnaishi wenyewe bado kupata watoto, ndani ya mjengo mkubwa ni raha sana. Alafu uwe na mzigo wa maana, unaweza kuiona dunia yote ni ya kwako. Tunasema hapo maisha ni full shangwe, hakuna kuchelewa kufika nyumbani, muda wote unatamani muwe wawili tu kwenye eneo lenu la kujidai.

Vijana tuoeni jamani, lakini pia tuoe tukiwa tumeshajipanga ili tufurahie mema ya dunia.
Ndoa ni changa kila siku,hata mkiwa na watoto 10, ukiweka hiyo akilini huwezi kujuta kuingia kwenye ndoa

Kuna mbinu nyingi sana za kuifanya ndo iendelee kuwa changa

Tatizo vijana wa siku hizi ukishatoka honeymoon tayari unatafuta kamchepuka, halafu unaanza kuona kama ndoa yako imezeeka

Kwenye ndoa kila siku ni honeymoon na kila siku mwenzio ni mpya...

hii ni applicable kwa sisi wenye miaka 50 kwenda juu, vijana wa siku hizi hawawezi
 
Mkiwa mnaishi wenyewe bado kupata watoto, ndani ya mjengo mkubwa ni raha sana. Alafu uwe na mzigo wa maana, unaweza kuiona dunia yote ni ya kwako. Tunasema hapo maisha ni full shangwe, hakuna kuchelewa kufika nyumbani, muda wote unatamani muwe wawili tu kwenye eneo lenu la kujidai.

Vijana tuoeni jamani, lakini pia tuoe tukiwa tumeshajipanga ili tufurahie mema ya dunia.
Ni kweli mkuu halafu kwenye account kuwe na comma za kutosha ,nje umepaki mikoko kama mitatu hivi halafu abdallah kichwa wazi awe na nguvu za kutosha.
 
Ndoa ni changa kila siku,hata mkiwa na watoto 10, ukiweka hiyo akilini huwezi kujuta kuingia kwenye ndoa

Kuna mbinu nyingi sana za kuifanya ndo iendelee kuwa changa

Tatizo vijana wa siku hizi ukishatoka honeymoon tayari unatafuta kamchepuka, halafu unaanza kuona kama ndoa yako imezeeka

Kwenye ndoa kila siku ni honeymoon na kila siku mwenzio ni mpya...

hii ni applicable kwa sisi wenye miaka 50 kwenda juu, vijana wa siku hizi hawawezi
Hahahahah ndoa ni mpya mpaka pale mwanamke atapoanza makelele ndani hapakaliki with no sane reasons.🤣🤣🤣
 
Hahahahah ndoa ni mpya mpaka pale mwanamke atapoanza makelele ndani hapakaliki with no sane reasons.
Ukiona kelele jaribu kuangalia sababu inayoleta kelele otherwise mtu mwenye akili timamu hawezi kupiga kelele hovyo tu, labda hajapitia mafunzo ya ndoa, tatizo vijana wa miaka hii hata mafunzo ya ndoa hamzingatii mnakutana facebook mnafunga ndoa instagram, hamjuani vya kutosha, hakuna aneelewa tabia za mwenzi wake, ukiweza kumuekewa mwenzi wako vizuri, kudeal nae ni rahisi sana wala huwezi kuwa na kelele za ajabu ajabu ndani ya nyumba

Miaka hiyo mnakaa uchumba muda wa kutosha, by the time mnaoana kila mtu anajua naenda kuishi na mtu wa namna gani
 
Ukiona kelele jaribu kuangalia sababu inayoleta kelele otherwise mtu mwenye akili timamu hawezi kupiga kelele hovyo tu, labda hajapitia mafunzo ya ndoa, tatizo vijana wa miaka hii hata mafunzo ya ndoa hamzingatii mnakutana facebook mnafunga ndoa instagram, hamjuani vya kutosha, hakuna aneelewa tabia za mwenzi wake, ukiweza kumuekewa mwenzi wako vizuri, kudeal nae ni rahisi sana wala huwezi kuwa na kelele za ajabu ajabu ndani ya nyumba

Miaka hiyo mnakaa uchumba muda wa kutosha, by the time mnaoana kila mtu anajua naenda kuishi na mtu wa namna gani
Wengine makelele ndio asili yao. Ilimradi tu akukere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom