Halafu mkwe kakataa kutoa mtoto hata mmoja akakae na bibi yake, au hata kumsalimia.Aiseee. Hii inasisimua cute b.
Huyo bibi akapigane kwenye folen za maji peke yake , sokoni peke yake. Huku Mtoto wake aliyemlelea kwa tabu, ananyumba nzuri na magari na house maids wawili.
Nilipata nafasi ya kuongea na huyo bibi nilisikitika sana, basi nimemgeuza kama mama yangu, na nimemzoea sana. Kila siku moja katika kula wiki napitia kumsalimia wakati mwingine napika tunakula nikirudi kwangu ni kulala tuu. Basi anafurahia sana.
Wanaume wana tabu hawa, ukizaa mtoto wa kiume mweke kwenye maombi sana. Maana anaweza asiweze kukutetea popote.