Tuko you are so funny!!! I hope u r not creating this questions kunichekesha, daaah halafu saa kumi na mbili tayari nataka niende jogging, mie sijaona kuku wa kienyeji wala sijakutana nao supermarket, kuku wa huku wote wakubwaa, poa bye see you later naenda jogging now hahahahahaaaa Tukoooo, funny u looh!!
Aisee huko kunawafaa wenye hela zaidi. Maana bila boda boda na bajaji ina maana kila mtu lazime apande taksi au dala dala. Mi naogopaga kuja marekani kwa kweli kwa kuwa nahisi kila mtu atakuwa amevaa mlegezo na ukipita barabarani kila mtu mtu anakuita watsaap niggaaaa... au sio?
Dont think much, just relax and jump to Obama's states and have fun more than u r
huku ni thursday jioni, ndo natoka sasa nilienda kuvaa poa badae
mweeh.....
Yani mi nikiwaza sehemu ambayo sitapata supu ya utumbo naishiwa amani kabisa...
he he, mwenzio nna beseni ndani kwa tahadhari.
Italiwa leyo.
hahahahahhaaaaa mbavu zanguu mie mweeeh
huku ni thursday jioni, ndo natoka sasa nilienda kuvaa poa badae
Poa poa... ila wamarekani wajanja sana. Waliweka tarehe zao nyuma ili siku ya mwisho wa dunia wawe wa mwisho kufa. Sisi huku ni ijumaa tayari nimemaliza kuangalia mechi hapa natafatuta usingizi. Kuna mbu wananisumbua kwenye neti sijui wameingilia wapi... damn.
Badae
hahahahhaaaa Tukooooo leo umeamua kunifurahisha looh, am back from jogging nimeshaoga na nimekula light dinner nasubiria mida isonge songe nikajirushe club.
So thats American, wajanja kumbee sikuwa najua hili thanks for informing looh ila pia kumbe ni waoga wa siku ya mwisho looh
sasa mbu wameingia kwenye neti kwani imetoboka? mwamshe mkeo awaue wewe ulale, au upulize dawa ya mbu
Nilisinzia kidogo qoute yako ilipoingia sim imevibrate nikaamka. Hii net haikatoboka. Unajua tena hizi net za plastik za msaada, ngumu kama nini. Nahisi walinivizia wakati najichomeka nao wakaingia fasta. Kukikucha nitadili na nao, hatoki hata mmoja.
Ila umepazoea mapema sana US aisee. Umefika juzi tu ushakuwa mjanja wa kwenda club!