Ndizi dawa ya Ukimwi!!

Tusikimbilie hitimisho tu. Inawezekana ikawa ni ndizi za kimarekani tu kutokana na genetically modified food. Mbona utafiti huu umekuja maleo? Isijekuwa ni mpango wa kilimo kwanza wa kidunia hapa. Bado kuna maswali mengi ya kujiuliza
 
poleni wote hata siku moja musije mukaota basi fanyeny then nawaletea mafuso na ndizi kibao acheni hizo wanajamiif hivi kila wanachosema wao iwe poa haya kwazi kweni mie na wangu wa huba milele
mambo ya ajaabu hayo
conquest
 
yaani kaka ningekuwa na dada ningekupa bure kwetu ruksa mtu akifanya vema kama weye hivi nakumbuka asili ya huu ukimwi ni kwa wale jamaa zetu na ndizi kwao ni big food just language sikuanza nursery ila hapo nimepatia au sio wanajf
think twis siku hizi mwawaonea wachina haya na wao wanataka kuuza vyao nimtindo
Conquest
 
Ajabu hapa Tanzania sehemu ambazo ndizi ndio chakula kikuu ndiko Ukimwi unaongoza,nenda mkoa wa Mbeya na Kagera,huko ndizi ndio menu kubwa lakini gonjwa kwa saaana,hizi tafiti zingine bana ni uchuro mtupu


Hapo umenena mkuu Mfianchi............ Tafiti zingine zinatukoroga tuu
 
.......Haya lingine hili, kuna research ilisema wanaume waliotahiriwa wanaweza wasipate maambukizo ya ukimwi.........leo tena ndizi, kesho watasema pizza, halafu keshokutwa tacos then ubwabwa na maharage.....huu ni wizi mtupuuu.
 
.......Haya lingine hili, kuna research ilisema wanaume waliotahiriwa wanaweza wasipate maambukizo ya ukimwi.........leo tena ndizi, kesho watasema pizza, halafu keshokutwa tacos then ubwabwa na maharage.....huu ni wizi mtupuuu.

Nafuu waseme Pizza kwavile nakula mara kwa mara basi ndo ingekuwa vaccine.
 
Lectins from Bananas Help to Avoid HIV Infection
Submitted by Jason Ramsey on Thu, 03/18/2010 - 12:38


AIDS-HIV-Bananas.jpg



According to a new research, lectins, which are derived from bananas, might be helpful in preventing sexual transmission of HIV. Lectins, a set of naturally occurring chemicals in plants can cease the series of reaction that leads to a variety of infections.
In lab tests, BanLec, lectin was found to be as powerful as two anti-HIV drugs used currently.
According to a new discovery that came out in the Journal of Biological Chemistry, lectin might become a cheap component of applied vaginal microbicides. Scientists were hunting for new techniques to halt the increase of HIV.
Meanwhile, scientists said that the rate of new infections is swelling compared to the rate of new individuals getting anti-retroviral drugs. It seems an effective vaccine is still years away.
Though condom use is helpful, they are most effective in preventing infection if used consistently and properly, which does not happen a lot.
David Marvovitz of the University of Michigan Medical School, said, “In settings where women have limited control over sexual matters, a long lasting, self-applied microbicide can be very attractive”.
The new study explains the intricate actions of lectins and their capacity to overcome HIV. Lectins are sugar- binding proteins that are capable of recognizing foreign intruders, like a virus, and attaching themselves to the pathogen, thereby obstructing its entry into the human body. The research group has developed a way to separate BanLec from bananas.



http://topnews.us/content/213589-lectins-bananas-help-avoid-hiv-infection
 
Kula ndizi mbivu kumi kila baada ya ngono zembe moja.
ha ha ha komradi hii inatakiwa kabla ya "ngono zembe" maana research inasema ndizi inazuia transmission ya HIV hebu soma hapa chini
According to a new research, lectins, which are derived from bananas, might be helpful in preventing sexual transmission of HIV. Lectins, a set of naturally occurring chemicals in plants can cease the series of reaction that leads to a variety of infections.
 
poleni wote hata siku moja musije mukaota basi fanyeny then nawaletea mafuso na ndizi kibao acheni hizo wanajamiif hivi kila wanachosema wao iwe poa haya kwazi kweni mie na wangu wa huba milele
mambo ya ajaabu hayo
conquest

hahaha Upele tutakula kwa afya na tiba ya magonjwa mengine mwilini :)
 
ha ha ha komradi hii inatakiwa kabla ya "ngono zembe" maana research inasema ndizi inazuia transmission ya HIV hebu soma hapa chini
SIDANGANYIIIIKI!! hata msemeje najua dawa ya ukimwi bado,fakamieni hayo madizi mvimbiwe bure mfe kwa ukumwi kwa ngono zembe,mimi SIDANGANYIIIKI.!
 
Hata mimi nashangaa, labda watuelimishe namna ya kuzitumia. pengine inatakiwa ziliwe zikiwa mbichi.
tatizo letu watanzania ni uvivu wa kujituma, ukisikia kitu usisubiri utfuniwe na wewe ingia kwenye utafi, kisha saidia kuthibisha, ama kuongezea palipopungua,
 
tatizo letu wabantu ni wavivu wa kufikiri. hapa kwetu ukimwi ulianzia kagera na huko ndizi ndo bwerere. na hiyo HIV-2 ilikuja badae lakini awali ilikuwa ni HIV-1 then why watu waliangamia licha ya kula ndizi kwa wingi. Ni hao hao wataalam wanatuambia kuwa HIV wanao tushambulia watu weusi ni tofauti na wale wanaoshambulia whitemen. Na huko Asia tunaambiwa kuna HIV-3. Ajabu ni kwamba hapa kwetu wako wataalam wanaodai kuwa na dawa aidha za kuzuia au kupambana na HIV kwa nini hatushobokei habari zao au kwa sababu ni weusi. JIKOMBOE KIFIKRA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom