Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,439
Wa afya.Kaka karimu na Wewe unakumbuka huo mwimbo.
Umenifurahisha..
Mzima Wewe Kaka Karim?
Hofu kwako
Wa afya.Kaka karimu na Wewe unakumbuka huo mwimbo.
Umenifurahisha..
Mzima Wewe Kaka Karim?
Tuliolaaniwa kula kwa jasho ni sisi iweje na ww unataka kula kwa jasho nyiny mteremko tu hamna namnaWanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu ujui historia yake vizur kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika ndo maan wanaume awaoi siku maan kila kitu ambacho angepata kwny ndoa anapata kwako sasa ndoa ya Nini anaona akuna jipya ndo maan kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maan imeshuka sana kwa kujirahisisha
Alhamdulilah..Siku Hizi Johayna haimbi Tena..Sioni Uki upload kazi zake mpya?Wa afya.
Hofu kwako
NimestaafuAlhamdulilah..Siku Hizi Johayna haimbi Tena..Sioni Uki upload kazi zake mpya?
Haya ndungu mfamasiaNimestaafu
uliniona wapi?Haya ndungu mfamasia
Sio kiviiiileSema kuolewa nayo ni bahati tu
Unaweza kutuliza 'Kei' yako ukajikuta unakufa na utamu wako
Watu tunapoteanaaMy good friend...Watu wanashindwa kujizuia..
Wanawaza Kungonoka 24/7...
Dunia wew hauna hurumaaWanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu ujui historia yake vizur kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika ndo maan wanaume awaoi siku maan kila kitu ambacho angepata kwny ndoa anapata kwako sasa ndoa ya Nini anaona akuna jipya ndo maan kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maan imeshuka sana kwa kujirahisisha
Sema kuolewa nayo ni bahati tu
Unaweza kutuliza 'Kei' yako ukajikuta unakufa na utamu wako
Uko sahihi ...thou unge share status yako km umeshaolewa or still single ili tupime ww km ww akili yako iko vpWanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno, tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu, siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu hujui historia yake vizuri, kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika.
Ndio maana wanaume hawaoi siku hizi maana kila kitu ambacho angepata kwenye ndoa anapata kwako, sasa ndoa ya Nini anaona hakuna jipya ndio maana kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha. Wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maana imeshuka sana kwa kujirahisisha.
Naona unajifariji ...ili uendelee kuigawa kisawa sawa ..... Tunza geji hiyo oil isiishe kabisaWakitaka kuoa..wataoa tu..nakama Ni wakuolewa utaolewa TU..
Na wakiachwa wanahaha kuingia mitandaoni ama mtaani kutafuta mwanamme zwazwa wa kumbebesha jukumu la kulea mtoto wa kibaka aliyezaa naye na kutekelezwa. Wanawake mjipange, kwa kweli mnaboa sana.Wanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno, tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu, siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu hujui historia yake vizuri, kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika.
Ndio maana wanaume hawaoi siku hizi maana kila kitu ambacho angepata kwenye ndoa anapata kwako, sasa ndoa ya Nini anaona hakuna jipya ndio maana kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha. Wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maana imeshuka sana kwa kujirahisisha.