TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
WavulanaMbona kila jumamosi harusi kibao . Kumbi zimejaa .
Je hizo harusi za kina nani kama unasema wanaume hawaoi
WavulanaMbona kila jumamosi harusi kibao . Kumbi zimejaa .
Je hizo harusi za kina nani kama unasema wanaume hawaoi
Sio kweli, ukweli ni kwamba, Wanawake hawaheshimu WANAUME ndio maana wanaachwa, Kwani WANAUME wanahitaji Heshima, Kutokusumbuliwa, na Mwanamke ambaye atakua naye wakati wa jua na mvua.Wanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu ujui historia yake vizur kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika ndo maan wanaume awaoi siku maan kila kitu ambacho angepata kwny ndoa anapata kwako sasa ndoa ya Nini anaona akuna jipya ndo maan kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maan imeshuka sana kwa kujirahisisha
Sema kuolewa nayo ni bahati tuWanawake wa kizazi hiki tumejiachia mno tumejirahisisha mno yaani ukitongozwa tu siku moja siku ya pili umeshampa kila kitu siku ya tatu umehamia kabisa gheto mwezi ushajibebesha na mimba yake mtu ujui historia yake vizur kisa amekwambia anakupenda anakuhonga vijihela unaona umefika ndo maan wanaume awaoi siku maan kila kitu ambacho angepata kwny ndoa anapata kwako sasa ndoa ya Nini anaona akuna jipya ndo maan kumekuwa na wimbi kubwa na masingle mother kisa tu kujirahisisha na kupenda mteremko wa maisha wanawake tupige kazi tuache kupenda mteremko ili hadhi yetu ipande maan imeshuka sana kwa kujirahisisha
nimecheka sanaSema kuolewa nayo ni bahati tu
Unaweza kutuliza 'Kei' yako ukajikuta unakufa na utamu wako
My good friend...Watu wanashindwa kujizuia..Bandiko zuri
Naona Shida kubwa ni Ngono,
Ngono inapewa kipaumbele sana siku hizi tena wazi wazi yani si wanawake si wanaume, Wote wameongeza mapenzi ya kugonoka
Hata humu ukiskia mtu anasema "nipe namba yake " unadhan anatania ?
nimecheka sana
na mie nimecheka eti
Kuna profesa mmoja mwanamke alisema wanawake mngekuwa na umoja wanaume tusingewasumbua. Maana leo wewe utaninyima mbunye ila kesho rafiki yako ananipa mbunye na ukijua nimepewa na wewe tena utataka unipe ili umkomoe rafiki yako
Kwa vile sisi tuneumbwa na roho ya huruma na upendo na sio wachoyo tunakula tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kishenzi naona umenifungulia zawad ya boxing day Asante SanaSema kuolewa nayo ni bahati tu
Unaweza kutuliza 'Kei' yako ukajikuta unakufa na utamu wako
Ya ukarimu
Nimecheka Sana ..tumeumbwa na roho ya Nini daah !!!
You are welcome ☺😊🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kishenzi naona umenifungulia zawad ya boxing day Asante Sana
Zamani..ITV Kuna mwimbo wa mdada qaki kenya..Uliitwa Good for nothing.... Ulipigwa Sana jioniIt sad to be ignorant & foolish at the same time; it is even extremely sad to be intelligent & foolish at the same time. Watu wengi wanaofanya hayo majanga wako kwenye kategori ya kuwa both wickedly SMART & FOOLISH kwa wakati mmoja. They are purposeless and good-for-nothing.
Me tooZamani..ITV Kuna mwimbo wa mdada qaki kenya..Uliitwa Good for nothing.... Ulipigwa Sana jioni
Mimi na Mdogo Wangu Zubeda... Tuliupenda Sana...
Braza, wale sio Nyege. Ni Umasikini tu, Umasikini mbaya mno ndugu yangu. Tuendelee kusapotiana tu kwa kadir tuwezavyokumvuta demu wa uswazi inahitaji moyo japo mimi wa uswazi ila hawa wenzangu kuwavuta tupunguziane umaskini hapana.
nimewahi mpa mwingine 20,000 akaenda mwambia mwenzake siku moja tunaonana anasema alafu flani ulimpa 20 nikamwambia nawe uijie zilipigwa simu siku iyo hadi sio vzr.
ogopa sana umaskini na nyege
Kaka karimu na Wewe unakumbuka huo mwimbo.Me too