NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Nimeguswa na huyu mzee kwa kweli huduma yake ni ya kimungu.
Mungu amzidishie hii cooporate responsibility yake ni zaidi, ina utu mkubwa ndani yake zaidi.
Wito
Viongozi wetu igeni mfano, ukianza safari ya loliondo beba na jirani zako wawili ndani ya gari yako, na mungu akubariki sana...
Utakuwa umeokoa uhai wa watanzania wasio na uwezo wakufika kwa babu na utakuwa ni shujaa, mkombozi na mtu wa kuheshimika
Mungu amzidishie hii cooporate responsibility yake ni zaidi, ina utu mkubwa ndani yake zaidi.
Wito
Viongozi wetu igeni mfano, ukianza safari ya loliondo beba na jirani zako wawili ndani ya gari yako, na mungu akubariki sana...
Utakuwa umeokoa uhai wa watanzania wasio na uwezo wakufika kwa babu na utakuwa ni shujaa, mkombozi na mtu wa kuheshimika