Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,805
Sasa mbona umekaa kichawichawi mkuu mabandiko yako mengi mkuu yamejaa harufu ya kuzimu ukiacha machache ya siasaHapana![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa mbona umekaa kichawichawi mkuu mabandiko yako mengi mkuu yamejaa harufu ya kuzimu ukiacha machache ya siasaHapana![]()
![]()
![]()
![]()
Hata pesa kama ingeokotwa barabarani maisha ingekuwa ni kula bata daily au wokovu ingekuwa ni kwenda kanisani kila kaya isingekosa mlokole! Au mapenzi yangekuwa rahisi kama tunavyodhani Leo kusingekuwa na talaka....itoshe tu kusema tusiwe wepesi wa kudhihaki na kuponda Dunia ina mengi ambayo hatuyajuiKama uchawi ungekuwa kweli maisha yangekuwa rahisi sana.
Kwa bahati mbaya ni nadharia zilizofanyiwa sugarcoating.
Kila kilichopo kwenye ulimwengu halisi kina replica kwenye ulimwengu wa kiza/kirohomshana jr;
Pamoja na mengi unayo andikaga humu kuuhusu uchawi naamini kuwa weye si mchawi. Wewe ni wa kule kwetu na ninavyo wafaham ninyi "Wa-shana" hamkujaliwa saana hayo makitu. Ila kwa usomi wako na interest zako ukayajifunza hayo makitu. Sasa, naomba kuuliza mawili matatu:
Yawezekana mtu akapata hiyo ndele badala ya yeye kuhonga fweza akahongwa yeye?? Maana umesema kuwa, wake za watu watakuwa wangu?
Yawezekana ukaridhi ukware huo kwa babako? Kwani wengine tuliyasikia walotenda baba zetu na sasa tunaona yakitimia kwetu leo?? Je, tuliridhi hiyo ndele??
Ikiisha nguvu utalia. Je, nguvu humalizwa na nini na nini dalili? Je nguvu hukaa nawe mda gani?
Ni hayo tu mshana jr
Mwelewa,uchawi upo,Watanzania wanavyopenda kusikia visa hivi vya kufikirika basi hapa MshanaJr umewakamata kisawasawa.
Hapa kinachotokea washabiki wako nao wanaenda kusimulia watu wengine huko nyumbani kwao basi jamii nzima inazidi kuamini kwenye hivi visa visivyonauthibitisho.
Bado mtoto mdogo wewe si kosa lako.Kama uchawi ungekuwa kweli maisha yangekuwa rahisi sana.
Kwa bahati mbaya ni nadharia zilizofanyiwa sugarcoating.
hivi bange unanunua sh ngapi?Bado mtoto mdogo wewe si kosa lako.
Wewe ndiye uliyenizaa kujua mimi ni mtoto mdogo?Bado mtoto mdogo wewe si kosa lako.
Mmh!mkuu unaweza kutueleza huu mkufu unacontenti gani?naona kamtu,mweZi na nyota,na vingine vipi hapo?uhuhusiano wa vitu hivyo na mvito?Mkufu wa mvuto (ndele) toleo jipya! Unconditionally![]()
![]()
![]()
![]()
Bila shaka ilimlenga Sizonje maana maamuzi yake ni ya kitoto,,,,,,,siyo mimi😀😀😀😀😀Biblia takatifu inasema '...sote tu watoto....!![]()
![]()
![]()
![]()
Ndele kwa wazee aifanyi kaz.Wajinga Ndiyo Waliwao
Utaki ndele unataka ukimwiMkuu mi naitaka hiyo ndele