Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,165
- 831,907
- Thread starter
- #41
Heshimu hisia na mitazamo ya wengine Mwelewa, reply yako haiwezi kubadili kamwe ukweli na uhalisia wa kile nilichoandika! Waheshimu watanzania ni watu na werevu na wastahamilivu sana ndio maana unaweza kuandika uandikayo na bado ukabaki salamaWatanzania wanavyopenda kusikia visa hivi vya kufikirika basi hapa MshanaJr umewakamata kisawasawa.
Hapa kinachotokea washabiki wako nao wanaenda kusimulia watu wengine huko nyumbani kwao basi jamii nzima inazidi kuamini kwenye hivi visa visivyonauthibitisho.


uchawi wa Beyonce na Minaj ni sheleli
una bei gani kibindoni?