Ndele; faida na madhara yake

Ndele; faida na madhara yake

Hata pesa kama ingeokotwa barabarani maisha ingekuwa ni kula bata daily au wokovu ingekuwa ni kwenda kanisani kila kaya isingekosa mlokole! Au mapenzi yangekuwa rahisi kama tunavyodhani Leo kusingekuwa na talaka....itoshe tu kusema tusiwe wepesi wa kudhihaki na kuponda Dunia ina mengi ambayo hatuyajui
Ni kweli kabisa mshana jr aiseee dunia ina mengi tusiyoyajua ...na mengi tulimezeshwa uongo...
 
Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.
 
Kama kuna za kutengeneza, basi mimi yangu ni ya kuzaliwa aisee
 
mkuu mshana bona haunitag kwa story kama hizi na wajua mie ni fun wa hizi? mie ndere siongopi goja nifike tz nitaijaribu.
 
Back
Top Bottom