venance7
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 558
- 1,652
Hii ndele inapatikana wapi mkuu uniunganishe? Uzege wangu unanyima mambo mengi mazuri. Kila siku ni wa kubwa tu wanafaidi


hukuipata tu hiyo ndele mkuu?
Hii ndele inapatikana wapi mkuu uniunganishe? Uzege wangu unanyima mambo mengi mazuri. Kila siku ni wa kubwa tu wanafaidi


hukuipata tu hiyo ndele mkuu?


Unasikia mshana me nataka niwe napata habar mojamoja jamiiforum.nafanyafanyaje.nielekeze kakaSahihi kabisa..siku hizi fix nyingi
Ya kweli hii?Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.![]()
![]()
Mkuu kwa hiyo ndo haiwezekani tena kuipata ndele?.….nna shida nayo sana mkuu....Siku hizi ngumu, nyingi zimebaki story.... Bingwa wangu kazima mwaka jana... Alikuwa na maarifa mengi lakini mbinafsi