Ndele; faida na madhara yake

Ndele; faida na madhara yake

mshana eb ngoja uwa naskia kuna ndele mwanamke anachanjiwa sijui kwenye bibi au chini apa kinenani ni kweli au ni maneno uwa naskia habari nyingi kuhusu ndele
 
mshana eb ngoja uwa naskia kuna ndele mwanamke anachanjiwa sijui kwenye bibi au chini apa kinenani ni kweli au ni maneno uwa naskia habari nyingi kuhusu ndele
Hilo ni limbwata sio ndele
 
Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.
 
Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.
wataalam kila kona
 
Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.
ha ha ha
 
375623ffcc2551eb92552d5d2af853f7.jpg
 
Watanzania wanavyopenda kusikia visa hivi vya kufikirika basi hapa MshanaJr umewakamata kisawasawa.

Hapa kinachotokea washabiki wako nao wanaenda kusimulia watu wengine huko nyumbani kwao basi jamii nzima inazidi kuamini kwenye hivi visa visivyonauthibitisho.
 
Back
Top Bottom