
Nauza ndele bei nafuu, sawa na buremshana eb ngoja uwa naskia kuna ndele mwanamke anachanjiwa sijui kwenye bibi au chini apa kinenani ni kweli au ni maneno uwa naskia habari nyingi kuhusu ndele

Ndele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.![]()
![]()
wataalam kila kona
kumbeHilo ni limbwata sio ndele
Kuna demu mmoja nilikuwa namtaka humu JF nikatumia ndele nikampata![]()
![]()
wataalam kila kona

ha ha haNdele,
*Ya hirizi inayofungwa kwenye bega kamba nyeusi.
*Ya unga unga unaisugua kwenye kichwa.
*Ya mshumaa/kibatali unauwasha moto unapohitaji
*Ya majimaji unaweka kwenye ndoo unaoga.
*Ya mkorogo kwenye mafuta halafu unajipaka.
---uzuri wa ndele ukimtaka demu kama anakusumbua, anajileta mwenyewe huku anarembua macho.![]()
![]()
Ndio ndele hiyo
Mbona ipo kama hirizi kwahyo unatembea nayo au