Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

kwani unapanga maovu yapi mpaka uogope askari?
 
Jamani niko posta hapa zinapita ndege za jeshi zina milio ya kutisha niambieni jamani kuna nini ili kama kimenuka niende zimbabwe mapema

Acheni ushamba na upumbavu Ndege za Kivita za Kijeshi hazijaanza kufanya mazoezi hayo leo kwani tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa hivi Magufuli wamekuwa na utaratibu huo huo wa kuwa na mazoezi yao lakini pia kuzijaribu mara kwa mara Ndege Vita ambavyo inashauriwa kwakuwa muda mrefu zinakuwa zimekaa tu hazitumiki.

Tuache kuwa ' Wazushi ' na tujifunze kuwa na kiasi hasa kwa mambo ' Nyeti ' kama haya kuliko kuyatafutia ' Hoja ' za Kitoto humu ' Mitandaoni ' ambazo hazisaidii. Na kama haitoshi si lazima kila kitu cha ' Kijeshi ' basi Wewe ukijue au ' uwashwewashwe ' nacho. Kama kungekuwa na tatizo lolote basi Umma wa Watanzania ungeshataarifiwa mapema sana tu ila Tanzania ni shwari na hakuna mjinga au mpumbavu yoyote atakayeweza kupambana na Jeshi letu ' takatifu ' la Wanamume wa Shoka la JWTZ.
 
Acheni ushamba na upumbavu Ndege za Kivita za Kijeshi hazijaanza kufanya mazoezi hayo leo kwani tokea enzi ya Hayati Baba wa Taifa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na sasa hivi Magufuli wamekuwa na utaratibu huo huo wa kuwa na mazoezi yao lakini pia kuzijaribu mara kwa mara Ndege Vita ambavyo inashauriwa kwakuwa muda mrefu zinakuwa zimekaa tu hazitumiki.

Tuache kuwa ' Wazushi ' na tujifunze kuwa na kiasi hasa kwa mambo ' Nyeti ' kama haya kuliko kuyatafutia ' Hoja ' za Kitoto humu ' Mitandaoni ' ambazo hazisaidii. Na kama haitoshi si lazima kila kitu cha ' Kijeshi ' basi Wewe ukijue au ' uwashwewashwe ' nacho. Kama kungekuwa na tatizo lolote basi Umma wa Watanzania ungeshataarifiwa mapema sana tu ila Tanzania ni shwari na hakuna mjinga au mpumbavu yoyote atakayeweza kupambana na Jeshi letu ' takatifu ' la Wanamume wa Shoka la JWTZ.
Povu LA nini?
 
anatutishia. Ila akumbuke hatutishiki na siku tukiamua kuingia msituni hakuna wa kutuzuia.

Hakuna anayekutishia,kwani wala si jambo geni hili, na wala hakuna aliyekuzuia kuingia msituni unaweza kwenda tu wala hujazuiwa.
Lkn kumbuka kuingia msituni sio rahisi hivyo kama kudonoa keypads😀
 
Ujinga na Upumbavu umezidi. Mnataka Ndege za Kijeshi zifanyie mazoezi yao Vyumbani mwenu mnapolala na Wake / Mahawara zenu? Miswahili bhana sijui ipoje!
Kashfa za nini sasa? Povu mingi wakati mweupe hujui lolote
 
Ni zile za msaada tulizopewa na wakorea wanazifanyia test,yaani yule mr makombora kafurahishwa na jinsi pombe inavyochemka huku.
 
Ila najua sana tu ' mnyero ' wako huo unaoongoza kwa Kuvunda na Kudoda hapo down town.
Ndo maana nimekwambia mweupe huna lolote hizi mambo tulishaachana nazo zamani sana maana ni utoto wa hali ya juu bali kwako wewe umri wako unaruhusu hakuna tusi jipya duniani
 
Ujinga na Upumbavu umezidi. Mnataka Ndege za Kijeshi zifanyie mazoezi yao Vyumbani mwenu mnapolala na Wake / Mahawara zenu? Miswahili bhana sijui ipoje!
Acha plagiarism, akikuskia mwenye kauli hizo inakula kwako,
 
Hamuwezi kumuelewa nyie kaskazini,wezi wakubwa na wabinafsi sana.uku kwetu tunajiandaa kuwatimua mrudi kwenu.maana uko kwenu hakuna mtu anaeweza kufanya biashara.wote mnaambiana husiende duka lile sio wa kwetu.
Hahahaha haya yametoka wap tena mbona maneno ya hasira namna hiyo. Pole ndugu
 
NDEGE KUPITA TU JUU MMESHAANZA KUOGOPA.VITA JE.WATANZANIA BWANA UOGA UMEZIDI!!
 

Attachments

  • MAMA BUNDUKI OG.jpg
    MAMA BUNDUKI OG.jpg
    55.3 KB · Views: 24
Wanajamvi, majibizano mengine yanaonesha mpo " fully stressed ". Acheni hizo.
 
Back
Top Bottom