Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Hivi vitu sijui majaribio ya ndege huwa yanakera sana hususani yanapofanyika ktk anga ambalo ni heavily populated...Risk yake ni kubwa maana madege ya kijeshi ndio yana rekodi mbaya za kuanguka kutokana na kukosa service, uchakavu na umri mkubwa...Kwa nini yasipite anga ya bahari au porini huko!!!Iko siku tutakuja kuongea lugha nyingine inayoambatana na majuto!!!
 
jana kajua aliharisha mharo so anajua kwamba watu hawakumwelewa na hawatamwelewa........ ni mtu gani huwa hotuba zake zile zile? nawapongeza haswa wanaomsiliza mimi huwa siwezi maana hata sauti yake kwangu nahisi ni laana kabisa.............
Tulisema kitambo hapa huyu dikteta.

Sasa hata ambao hawajui kusoma namba picha wataiona.
 
Hamuwezi kumuelewa nyie kaskazini,wezi wakubwa na wabinafsi sana.uku kwetu tunajiandaa kuwatimua mrudi kwenu.maana uko kwenu hakuna mtu anaeweza kufanya biashara.wote mnaambiana husiende duka lile sio wa kwetu.
Haya ni maneno mufilisi ya ukabila.

Mimi Msukuma na nampinga Magufuli. Kwa principle.

Acha ukabila.
 
Hamuwezi kumuelewa nyie kaskazini,wezi wakubwa na wabinafsi sana.uku kwetu tunajiandaa kuwatimua mrudi kwenu.maana uko kwenu hakuna mtu anaeweza kufanya biashara.wote mnaambiana husiende duka lile sio wa kwetu.
Chuki yako inatisha kama mauti, naamini mtawala hawazi unavyowaza.

Vv
 
Kweli wewe wa kigoma umekaa kiziro ziro hata kuandika kwako inaonyesha we ni ziro yaani jamii ya ziro brain
Huyo jamaa anaaibisha watu wenye akili, wajasiriamali na wachapakazi kutoka Kigoma waliosambaa barabarani Dar, sasa na huku tukisema hatutaki kuona baiskeli zao wanaotuuzia matunda na madafu itakuwaje?

Vv
 
jana kajua aliharisha mharo so anajua kwamba watu hawakumwelewa na hawatamwelewa........ ni mtu gani huwa hotuba zake zile zile? nawapongeza haswa wanaomsiliza mimi huwa siwezi maana hata sauti yake kwangu nahisi ni laana kabisa.............
Huyu nae akaleta siasa kwenye depo
 
jana kajua aliharisha mharo so anajua kwamba watu hawakumwelewa na hawatamwelewa........ ni mtu gani huwa hotuba zake zile zile? nawapongeza haswa wanaomsiliza mimi huwa siwezi maana hata sauti yake kwangu nahisi ni laana kabisa.............
mimi kwenye tv wakiweka hotuba yake nabadili channel
 
Jamani niko posta hapa zinapita ndege za jeshi zina milio ya kutisha niambieni jamani kuna nini ili kama kimenuka niende zimbabwe mapema
Mkuu mimi nimeshafika hapa zimbabwe kitambo nasubiria kupata tu taarifa kama kimeshanuka...
 
Na hii pia habari? Mkuu ndege za jeshi za nchi gani?
 
Mkuu mbona mambo mengine hayajakaa kisiasa?!usikute hao jamaa wanazipasha moto tu coz vita hakuna na zikikaa bila kupashwa moto zitakufa halafu itakuwa hasara,kama gari tu!!
Kabisa labda zingekuwa ndege za kijeshi za nchi nyingine hapo sawa,tuache siasa kwenye mambo mengine
 
Back
Top Bottom