Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Ndege za Jeshi leo Dar ni nini

Ni kwawaida kwa mwenye shamba kukagua shamba lake
 
Kawaida mauchwara kufanya hivyo mana alichafua nyoyo za watumishi na wenye vyeti feki kwa kumtetea Zero
 
Me nimepishana nayo hapo fire... Kwa Leo mji umenishinda ... Narud zangu kitaan kwetu ... Bye bye
 
Hamuwezi kumuelewa nyie kaskazini,wezi wakubwa na wabinafsi sana.uku kwetu tunajiandaa kuwatimua mrudi kwenu.maana uko kwenu hakuna mtu anaeweza kufanya biashara.wote mnaambiana husiende duka lile sio wa kwetu.
 
kama hawa wachina wetu (ndege za kichina) wanatutisha vipi wale kina F 22, F 3 , F 15 E strike eagle
wale wakipita nina uhakika kuna magorofa yatadondoka yenyewe
 
Tunawatishia watumishi wa umma wa Dar es salaam maana ndio wenye ufahamu mkubwa.
Tunahakikisha wanaitii serikali hata kwa mshahara wa laki tano huku wakiandamwa na;
1.Utapiamlo- upungufu wa virutubisho katika familia zao
2.Kodi za vyumba, maana hawana uwezo wa kupanga nyumba mzima
3.Kupanda daladala kila leo, maana hata fedha ya kununua Suzuki hawana.
4.Watoto wao wamejaa kwenye madenge primary schools.
 
Mazoezi ya kawaida tunajiandaa na vita ya kirafiki
 
kama hawa wachina wetu (ndege za kichina) wanatutisha vipi wale kina F 22, F 3 , F 15 E strike eagle
wale wakipita nina uhakika kuna magorofa yatadondoka yenyewe
Hata hizi zinaweza kuangusha magorofa zikipigwa tu 180 degree angle.
 
Vijana msihofu tulikuwa kwenye mazoezi ya kawaida tu!
 
Siwezi shangaa hata kama kimenukishwa maana nasikia hata wazee wa combat eti nao wanalia njaa!!! Acha kabisa!!!.
Wanaofaudu utamu wa nchi hii Kwa sasa ni Bashite Na genge lake tu!!! Wengine wote kesho zetu hazitabiliki!! Kuanzia Kwa matarajio mpaka Kwa mkulima wa mbaazi hapa Nanjiririnji!!!!
Mwafaa!!!
"Aahh Bastola ya nini tena Jamani!!!!!"
 
Hamuwezi kumuelewa nyie kaskazini,wezi wakubwa na wabinafsi sana.uku kwetu tunajiandaa kuwatimua mrudi kwenu.maana uko kwenu hakuna mtu anaeweza kufanya biashara.wote mnaambiana husiende duka lile sio wa kwetu.
Kweli wewe wa kigoma umekaa kiziro ziro hata kuandika kwako inaonyesha we ni ziro yaani jamii ya ziro brain
 
Back
Top Bottom