hahaahhahahahahaha yule Mungu wao anaeadhibiwa kisa makosa ya watu aliowaumba mwenyewe!wakristo wana imani ya kuchekesha sana.huyo atakuwa mungu,sio Mungu
hahaahhahahahahaha yule Mungu wao anaeadhibiwa kisa makosa ya watu aliowaumba mwenyewe!wakristo wana imani ya kuchekesha sana.huyo atakuwa mungu,sio Mungu
Hapo kwenye nguvu za USA...🇺🇸🇺🇸🇺🇸..utapingwa vikali na wahafidhina wenye kuichukia USA.Hizo sasa ndio globa-level projects. Kule vifurushi maalum kwa Ukraine; kule strategic support to the people of Taiwan, pale military drill in the Iranian airspace!
Bila kusahau Kiduku is being watched 24/7. Matishio ya Putin on the use of nuclear yanafuatiliwa cautiously; anasubiriwa afanye chochote afunzwe adabu! Kuna uzi humu Project ARTEMIS ya kurevisit the Moon on the making.
Tunaposema super power that's the exact meaning; no more no less.
Mpe mpe elimu huyo, hii dunia ingetawaliwa na muarabu ingekuwa ni balaa tupuukiwa wewe sio mkristo lazima utaichukia marekani tuu.nani aliyewaokoa waislamu kule Cosovo aliokuwa wanauwawa na Slobodan Milosevic kama sio mmarekani? nani aliye msweka ndani milosevic mpaka kufia lupango kama sio preasure ya mmarekani. hivi mmarekani awafanyie wema gani ili mmjue ni mleta amani ya kweli hapa duniani?kaangalie wsomalia, bosnia na Cosovo anavyo walea pale minia[polis lakini huachi kumlaumu mmarekani. grow up and wise up buddy!!!
ShaloooomHapo kwenye nguvu za USA.....utapingwa vikali na wahafidhina wenye kuichukia USA.
lee van cliff wa kupuliza Bukyanagandi 1954 Morogoro kaskazini Mathanzua
Shalom Israel....
zama za USA zimeshakwisha,kiuchumi China imeibuka kijeshi zishaibuka nchi kibao mfano hiyo Iran imemuaibisha USA mara kibao.Hapo kwenye nguvu za USA...🇺🇸🇺🇸🇺🇸..utapingwa vikali na wahafidhina wenye kuichukia USA.
lee van cliff wa kupuliza Bukyanagandi 1954 Morogoro kaskazini Mathanzua
Bwana Utam
Shalom Israel....🇮🇱🇮🇱🇮🇱
naona vita ya kwanza na ya pili ya dunia imesababishwa na waarabu,naona maafa Iraq,yemen,syria,vietnam,libya yamesababishwa na waarabu.Mpe mpe elimu huyo, hii dunia ingetawaliwa na muarabu ingekuwa ni balaa tupu
huwa anafanya kwa maslshi yake au kwa kuona kuna kitu hkna mashetani wakubwa waharibifu wa ulimwengu kama hao NYANGAUukiwa wewe sio mkristo lazima utaichukia marekani tuu.nani aliyewaokoa waislamu kule Cosovo aliokuwa wanauwawa na Slobodan Milosevic kama sio mmarekani? nani aliye msweka ndani milosevic mpaka kufia lupango kama sio preasure ya mmarekani. hivi mmarekani awafanyie wema gani ili mmjue ni mleta amani ya kweli hapa duniani?kaangalie wsomalia, bosnia na Cosovo anavyo walea pale minia[polis lakini huachi kumlaumu mmarekani. grow up and wise up buddy!!!
Huyu jamaa akili zake kabakiza za kuvukia barabara tu huyu shetani wa kutupwa muharibifu akawe mlets amaniAcha hizo propaganda ulizolishwa.Nani kakudanganya USA mleta amani?Nani kakudanganya waislam pekee ndio wanawachukia USA?Kuna Belarus,Russia,Venezuela,Cuba wote hao wanachukia USA mbaya mbovu ikiwemo VIetnam,China n.k je hao ni waislam?Libya,Iraq,Syria,vietnam,Yemen n.k nchi zote hizo zimeharibiwa na ufadhili vita wa USA unathubutuje kusema USA mleta amani duniani?
dah hata mm namshangaa maafa yalotokea ht hapa Africa yalosababishwa na USA sijui hayaoni!?Huyu jamaa akili zake kabakiza za kuvukia barabara tu huyu shetani wa kutupwa muharibifu akawe mlets amani
Tulia weweeusitudanganye ww syria iliitungua f35 ya israel mnayoisifia na f35 is not invisible acheni blee ble blee
Wamerogwa!hahaahhahahahahaha yule Mungu wao anaeadhibiwa kisa makosa ya watu aliowaumba mwenyewe!wakristo wana imani ya kuchekesha sana.
Iran wanatumia mfumo wa kulinda anga wa Urusiina maana Iran hawana mifumo ya ulinzi wa kianga?
bando unalo ingia aljazeera tafuta utapata hiyo habari.Weka ushahidi hapa. Source ya hii habari. Vinginevyo ni hadithi ni za vijiwe vya kahawa vya huko Mwembe Yanga🤔
usitudanganye bro IRAN ina mfumo wake wa khordak wa anga haitegemei ya Urusi ht ile drone ya USA walodai ni stealth drone ilidunguliwa na mfumo wa kombora wa khordakIran wanatumia mfumo wa kulinda anga wa Urusi
Wakati unabishana na mchango wangu umeelewa main post imesema nini????usitudanganye bro IRAN ina mfumo wake wa khordak wa anga haitegemei ya Urusi ht ile drone ya USA walodai ni stealth drone ilidunguliwa na mfumo wa kombora wa khordak