Ndege za Israel zaingia anga la Iran kwa kujirudia wakati wa mazoezi ya kijeshi!

Mkuu Iran ni wazungu eee ? Pole lakini ila mi najua nchi za kiarabu zote zina mgogoro na wazungu kisa hadi leo hakijulikani.
Kisa mbona kinajulikana mkuu, na daima waarabu hawatakuja kushinda, daima watakuwa chini tu.
 
Matahila hayo uwezi kubishananao, wenzio wanaamini Israel ndio kazaliwa mungu wao aliyekuwa anakula na kunya
Mungu ni muweza wa yote anaweza kuamua kujibadili kuwa binadamu Akala na kunya bila kupangiwa kwasababu vyote hivyo kaviumba. Siyo big deal kwake. Siyo wa kwenu anajua kiarabu tu.
 
VANDENBERG SPACE FORCE BASE, Calif. --

A scheduled, operational test launch of an Air Force Global Strike Command unarmed Minuteman III intercontinental ballistic missile is planned for Tuesday, Aug. 16 from 12:01 a.m. to 6:01 a.m. Pacific Time from north Vandenberg.

This test is routine and was scheduled years in advance. Consistent with previous test launches, this ICBM test launch will validate and verify the effectiveness, readiness and accuracy of the weapon system.

In accordance with standard procedures, the United States has transmitted a pre-launch notification pursuant to the Hague Code of Conduct, and notified the Russian government in advance, pursuant to New START obligations.

The purpose of the ICBM test launch program is to demonstrate the readiness of U.S. nuclear forces and provide confidence in the lethality and effectiveness of the nation's nuclear deterrent, according to Air Force Global Strike Command.

Source: https://www.vandenberg.spaceforce.m...o-showcase-readiness-of-us-nuclear-forces-sa/

main-qimg-5541eb30566729831dbaf55703c937a8-lq


dudus Unyama sana, ulishawahi kusikia Russia inatest ICBM na kutangaza mpaka muda na sekunde ya majaribio ? Zaidi ya yale makopo huwa wanayaonyesha tu kama picha ?
Unamaana RUSSIA hawana hizo ICBM?
 
Mkuu Iran ni wazungu eee ? Pole lakini ila mi najua nchi za kiarabu zote zina mgogoro na wazungu kisa hadi leo hakijulikani.
Bila shaka we'we hata ikitokea wa kukuelekeza Kwamba wairan Wala waturuki si waarabu utabisha..
Nb. Nikusaidie..
Wairan si waarabu Bali wao Ni mafursi katika utambulisho wao kiswahili. Na katika biblia wairan Ni Persians kwa kiingereza.
Kama walivyo waturuki wao si waarabu Bali Ni special race na wanaamini wao Ni Superior zaidi ya waarabu. Na Mara nyingi hujinasibisha na umagharibi.
Lakini pia wairan na waturuki hupenda kujinasibisha na greatness ya kihistoria ya mataifa yao yaani Great Persian Empire na Ottoman Empire ambao wote waliitawala maeneo makubwa ya dunia kipindi kilichopita..
Ingia Google uelimike zaidi
 
VANDENBERG SPACE FORCE BASE, Calif. --

A scheduled, operational test launch of an Air Force Global Strike Command unarmed Minuteman III intercontinental ballistic missile is planned for Tuesday, Aug. 16 from 12:01 a.m. to 6:01 a.m. Pacific Time from north Vandenberg.

This test is routine and was scheduled years in advance. Consistent with previous test launches, this ICBM test launch will validate and verify the effectiveness, readiness and accuracy of the weapon system.

In accordance with standard procedures, the United States has transmitted a pre-launch notification pursuant to the Hague Code of Conduct, and notified the Russian government in advance, pursuant to New START obligations.

The purpose of the ICBM test launch program is to demonstrate the readiness of U.S. nuclear forces and provide confidence in the lethality and effectiveness of the nation's nuclear deterrent, according to Air Force Global Strike Command.

Source: https://www.vandenberg.spaceforce.m...o-showcase-readiness-of-us-nuclear-forces-sa/

main-qimg-5541eb30566729831dbaf55703c937a8-lq


dudus Unyama sana, ulishawahi kusikia Russia inatest ICBM na kutangaza mpaka muda na sekunde ya majaribio ? Zaidi ya yale makopo huwa wanayaonyesha tu kama picha ?
Hakuna nchi duniani inayoweza kuikuta Russia kwenye ICBM.
Screenshot_20220826-155816.jpg
 
Kumbe kule iraq, syria, libya na kwingineko wanauawa waroro wa matajiri pekee? Tuseme ndio, ni halali kumuua binadamu huyu na kumtetea mwingine? Kwanini binadamu tunakuwa na double standard kiasi hiki?
Marekani kuvamia mataifa mengine ni sawa lakini nchi nyingine ikifanya kama marekani, kila mtu mayowe. Kama kuna gaidi namba moja aliye hai mpaka sasa na hajashitakiea wakati amefanya ugaidi sehemu nyingi dunia tena bila kificho, ni George W Bush.
ukiwa wewe sio mkristo lazima utaichukia marekani tuu.nani aliyewaokoa waislamu kule Cosovo aliokuwa wanauwawa na Slobodan Milosevic kama sio mmarekani? nani aliye msweka ndani milosevic mpaka kufia lupango kama sio preasure ya mmarekani. hivi mmarekani awafanyie wema gani ili mmjue ni mleta amani ya kweli hapa duniani?kaangalie wsomalia, bosnia na Cosovo anavyo walea pale minia[polis lakini huachi kumlaumu mmarekani. grow up and wise up buddy!!!
 
Hivi Iran km ameweza kutungua ndege ya USA yenye high technology ya stealth Kwa kombora moja tu hv ashindwe kuziona ndege za Israel ambazo Syria tu anaziona mpk wanakuwa wanashambulia Syria Kwa kukaa kwenye anga ya Lebanon
kama babu wa mababu yao Yakobo aliweza kupigana pale jangwani na mtu asiyemuona walipigana mpaka asubuhi leo hii Israelis kupigana na mtu anyeonekana ni kitu raisi sana kwao kama vile kufungua wallet na kutoa dolla moja! get ma point baddy!
 
Lini syria kaangusha ndege ya Israeli labda iwe F-16,Lakini F-35 ni invisible kwenye radar
usitudanganye ww syria iliitungua f35 ya israel mnayoisifia na f35 is not invisible acheni blee ble blee
 
Mkuu Iran ni wazungu eee ? Pole lakini ila mi najua nchi za kiarabu zote zina mgogoro na wazungu kisa hadi leo hakijulikani.
Iran ni wahajemi ama w persians sambamba na Pakistan na Afghanistan na wengine.Ndio maana wabishi hawatawaliki wale sio waarabu.
 
ukiwa wewe sio mkristo lazima utaichukia marekani tuu.nani aliyewaokoa waislamu kule Cosovo aliokuwa wanauwawa na Slobodan Milosevic kama sio mmarekani? nani aliye msweka ndani milosevic mpaka kufia lupango kama sio preasure ya mmarekani. hivi mmarekani awafanyie wema gani ili mmjue ni mleta amani ya kweli hapa duniani?kaangalie wsomalia, bosnia na Cosovo anavyo walea pale minia[polis lakini huachi kumlaumu mmarekani. grow up and wise up buddy!!!
Acha hizo propaganda ulizolishwa.Nani kakudanganya USA mleta amani?Nani kakudanganya waislam pekee ndio wanawachukia USA?Kuna Belarus,Russia,Venezuela,Cuba wote hao wanachukia USA mbaya mbovu ikiwemo VIetnam,China n.k je hao ni waislam?Libya,Iraq,Syria,vietnam,Yemen n.k nchi zote hizo zimeharibiwa na ufadhili vita wa USA unathubutuje kusema USA mleta amani duniani?
 
kama babu wa mababu yao Yakobo aliweza kupigana pale jangwani na mtu asiyemuona walipigana mpaka asubuhi leo hii Israelis kupigana na mtu anyeonekana ni kitu raisi sana kwao kama vile kufungua wallet na kutoa dolla moja! get ma point baddy!
israel ipi yenye nguvu?israel iliyopigwa milima ya sinai na Egypt mwaka 1973?Israel iliyoaibishwa na kundi la Hizbollah Lebanon 2006?Israel inasaidiwa bajet ya serikali yake na USA kila mwaka pia inapewa msaada wa silaha na USA kila mwaka hata ndege alizotumia kuipiga Syria 1973 mpk kukawepo mkataba wa camp david ni American made.Pasi na USA Israel hana ubavu.
 
Na yule anajua kiarabu tu anayeabudiwa na watu billion mbili kwa bidii na mashindano. Allah bana Yani anawaogopa Hadi wayahudi anashindwa kuwasaidia Palestine licha ya
anaemuogopa mwenzake nani?israel anaogopa wapalestina kiasi cha kufunga mwambao wa bahari wa gaza akihofia wao kupewa silaha ilhali yeye anapewa silaha kedekede na USA.Kama israel kidume aiachie palestine ijitawale na imiliki silaha uone km israel itasalia.waislam kiarabu tumeweka kuwa lugha mama ili ituonganishe pamoja na kitabu cha ALLAH kiwe ktk lugha moja isiyopotosha.sio km biblia watu wakiamua kufoji wanafoji watakavyo
 
Back
Top Bottom