Bhaghosha
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 224
- 163
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATCL, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa?
Ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
Ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.