Ndege za ATCL na huduma ya Kahawa

Bhaghosha

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
224
163
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATCL, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa?

Ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.

Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
 
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATC, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa? ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
Waafrika hawawezi kujisimamia hata ufanyeje nadhani hili la uwekezaji na mikopo Ni Aina mpya ya kurudi kukutawala. Yaani waafrika cheki wakipewa madaraka kazi Ni kuiba tu na kufanya anasa ikiwemo ngono. Yaani starehe kama ya ngono na ego zinawatala blacks. Tutabinafsisha mpaka tutajikuta hatuna kitu. Na madini tunayotoa kwao unategemea Nini. Baada ya 600yrs unadhani afrika itakuwaje. Tuandae kizazi chetu Kuja kuwa vibarua vya wazungu yaani hapa no way out. Na wachina wameshajaa afrika. Kuna kampuni ya ulinzi ya China Tanzania unategemea nini.yaanu sie kubweteka fasta
 
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATC, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa? ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
ATC ni wajinga sana,wanatoa beer moja ukimaliza ukiuliza ya pili wanakimbia kujificha huko nyuma mimi sipandi ndege njaa.

Siku moja natoka KIA kwenda DAR na hizi pangaboi yaani masikio yanauma utafikiri umepigwa ngumi halafu sijui rubani alikuwa mwanafunzi yaani ndege ilisota wakati wa kutua abiria jasho lilitutoka.
 
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATC, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa? ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
MMh nafikiri maziwa yaliisha mkuu.
Kuna wakati wana huma nzuri...wine, maziwa na korosho😅
 
Kwa wasafiri wa ndege zetu za ATC, hivi mmeshawahi kuhudumiwa kinywaji cha kahawa? ni kitu cha ajabu sana kiwango cha ubora wake ni cha chini kabisa. Yaani wanahudumia chai ya kahawa au kahawa ya rangi.
Kwa kuwa Tanzania inalima na kuzalisha kahawa ya kutumia, basi shirika letu lingetumia pia kuitangaza kahawa kwa kuhudumia kahawa kwa kiwango cha kimataifa na siyo kahawa ya rangi.
Kahawa ya kijiwe cha mchikichini inatosha. Unapanda ndege bei kubwa alafu una-mind kahawa ya shilingi 20 kikombe!
 
ATC ni wajinga sana,wanatoa beer moja ukimaliza ukiuliza ya pili wanakimbia kujificha huko nyuma mimi sipandi ndege njaa.

Siku moja natoka KIA kwenda DAR na hizi pangaboi yaani masikio yanauma utafikiri umepigwa ngumi halafu sijui rubani alikuwa mwanafunzi yaani ndege ilisota wakati wa kutua abiria jasho lilitutoka.
Ah jamani sasa wanafunzi wakajifunze wapi kama sio kwenye hizo flights? Wee watka zaidi ya bia moja alafu uanze ukorofi
 
ATC ni wajinga sana,wanatoa beer moja ukimaliza ukiuliza ya pili wanakimbia kujificha huko nyuma mimi sipandi ndege njaa.

Siku moja natoka KIA kwenda DAR na hizi pangaboi yaani masikio yanauma utafikiri umepigwa ngumi halafu sijui rubani alikuwa mwanafunzi yaani ndege ilisota wakati wa kutua abiria jasho lilitutoka.
Wapuuzi sana, hata maji ukiomba mpaka uletewe utasanda.. Hopeless sana
 
Huwa napenda sana kinywaji cha Precision Air, ni kitamu balaa.

Basi tu nina wasiwasi na ndege zao, ila customer experience ni tamu kuliko ATCL.
 
Kahawa ya kijiwe cha mchikichini inatosha. Unapanda ndege bei kubwa alafu una-mind kahawa ya shilingi 20 kikombe!
swala si ku-mind. Hizi huduma kwenye ndege ni muhimu sana kwa msafiri. Mimi kwa kuwa ni mywaji mzuri wa kahawa. Ninatarajia, basi kahawa pia iandaliwe kwa ubora wake. siyo maji ya kahawa.
 
MMh nafikiri maziwa yaliisha mkuu.
Kuna wakati wana huma nzuri...wine, maziwa na korosho😅
Hapana, ATC hivi sasa ukiacha matatizo madogo kama hili ninaliloliona, inajipambanua kama mtoa huduma mzuri nchini na pia ukanda wetu. Inabeba abiria wa aina mbalimbali. So please, tuongozwe na wataalamu. ATC iajiri mtaalamu wa kutengeneza kahawa. kahawa inautaratibu wake wakuandaliwa, si bora tu. au la waache. mara nyingi nikipewa hutamani kuimwaga.
 
Back
Top Bottom