Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Twiga wa sasa hivi ni wakubwa hadi wanatosha kuingia kwenye midege ya Jeshi la Waarabu
 
Mimi swali langu moja tu; hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani? Kama kabemendwa, mungu anamuona haya tu.

Mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa.

Mchoraji sio fair, sema poa tu na sipandi
View attachment 406534
View attachment 406535

Jina lako linaonyesha dhahiri kuwa wewe Ni mkristo lakini unajitoa ufahamu Na kuendekeza kumtaja Mungu kwenye mizaha ya kipuuzi, unachokitafuta utakipata.
 
Ile nafasi kule mkiani ni ndogo ukilinganisha na lile Boeing la Nyerere sasa mchoraji ikabidi ampindishe yule twiga kama vile anapakiwa kwenye ndege ya jeshi kwenda Uarabini
 
Mimi swali langu moja tu; hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani? Kama kabemendwa, mungu anamuona haya tu.

Mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa.

Mchoraji sio fair, sema poa tu na sipandi
View attachment 406534
View attachment 406535
Hiyo ya juu imekonda kama nyoka aliyekosa chakula mwaka mzima halafu hiyo ya chini aliyotuachia Nyerere imevimba kama chatu aliyemeza ng'ombe mzima
 
Back
Top Bottom