Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Huyuu n twiga wa Amani siowale mlioiba pale kia
 
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?
hivi kama una akili timamu na macho yenye afya kweli ulitegemea twiga kwenye hizo ndege mbili tofauti wafanane hata kwa kuangalia kwa macho tuu uoni utofauti mkubwa kwenye ukubwa wa mabawa ya hizo ndege mbili unazo linganisha?
Hivi wewe mnywa viroba unafikiri picha iliyochorwa kwenye TSH 200 ina ukubwa sawa na picha iliyochorwa kwenye TSH 1000.
Wewe kama si mlevi basi ni mwehu.
Kwa kifupi huyo twiga wa kwenye mapangaboi havutii mleta mada anazungumzia art work
 
Hyo ndege ya 80s inavutia kila kitu kuanzia rangi hadi twiga
 
Huyo Twiga mpya aliyechorwa anapatikana Canada sio hawezi kufanana na Twiga wa Serengeti
 
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?
hivi kama una akili timamu na macho yenye afya kweli ulitegemea twiga kwenye hizo ndege mbili tofauti wafanane hata kwa kuangalia kwa macho tuu uoni utofauti mkubwa kwenye ukubwa wa mabawa ya hizo ndege mbili unazo linganisha?
Hivi wewe mnywa viroba unafikiri picha iliyochorwa kwenye TSH 200 ina ukubwa sawa na picha iliyochorwa kwenye TSH 1000.
Wewe kama si mlevi basi ni mwehu.
Ukubwa wa mabawa sio tatizo hizo ni taaluma za watu tuulize sisi wachoraji unapoongea jambo uwe uwelewa na sio kutoa majibu mepesi kwenye swali gumu
 
Kwanini Watanzania tuko -ve kwa kila kitu? Lawama tu na kulalamika.
 
ZS-KEM_2016.jpg


HATERS GONNA HATE
Ndege hii ya mkulu ni kama pangaboi kwa size ila angalia inavyovutia hata twiga wake
 
Back
Top Bottom