Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Hili dili lilikuwa la chap chap ndo maana kazi haijaisha
 
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?
hivi kama una akili timamu na macho yenye afya kweli ulitegemea twiga kwenye hizo ndege mbili tofauti wafanane hata kwa kuangalia kwa macho tuu uoni utofauti mkubwa kwenye ukubwa wa mabawa ya hizo ndege mbili unazo linganisha?
Hivi wewe mnywa viroba unafikiri picha iliyochorwa kwenye TSH 200 ina ukubwa sawa na picha iliyochorwa kwenye TSH 1000.
Wewe kama si mlevi basi ni mwehu.
Povu la nini m@m@
 
Unataka kusema hapa kazi tu.kapigwa kama alivyopigwa kwenye boat ya bagamoyo? we mtata sana
 
Heeheehe sasa hivi mko kwenye mchora twiga?? Baada ya mapangaboi sasa issue ni picha ya twiga?? Awamu hii mtagusa kila kitu .. Hapa kazi tuu
 
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?
hivi kama una akili timamu na macho yenye afya kweli ulitegemea twiga kwenye hizo ndege mbili tofauti wafanane hata kwa kuangalia kwa macho tuu uoni utofauti mkubwa kwenye ukubwa wa mabawa ya hizo ndege mbili unazo linganisha?
Hivi wewe mnywa viroba unafikiri picha iliyochorwa kwenye TSH 200 ina ukubwa sawa na picha iliyochorwa kwenye TSH 1000.
Wewe kama si mlevi basi ni mwehu.
Kwa mbaaali naona kama unataka kumwelewa mleta mada ila baadae network inakata[emoji2] [emoji2]
 
Hivi ni lazima kumchora twiga pale? Mbona tuna wanyama wengi?
 
Mimi swali langu moja tu; hivi huyu aliye mchora huyu twiga ni nani jamani? Kama kabemendwa, mungu anamuona haya tu.

Mchoraji wa zile za zamani alikua anajua kuliko wa sasa.

Mchoraji sio fair, sema poa tu na sipandi
View attachment 406534
View attachment 406535
huyo n fisi wa Mbugan tuuu [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] hatuna twiga kilema ka hyo Duniani.

Au n katuni ya Twiga
 
hii ni yetu mkuu.....?
ZS-KEM_2016.jpg
Ukitaka kuijua kama ni yetu angalia ina mapanga boi. Tumegundua consumption ya mafuta ni ndogo na ni nzuri kwa kubana matumizi
 
hizo picha 2 zimenikumbusha Darwinism
 
Back
Top Bottom