Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Ndege yetu mpya, nani aliyemchora yule twiga?

Ndege hizi zilipaswa kulipiwa dola million 9 kwa kila ndege lakini serikali imelipa dola million 61 kwa kila ndege na kwa fedha taslim kwa amri ya raisi. by ZITTO KABWE.
Twiga mbong'oaji alilipiwa ngapi kuchorwa?
 
nina hakika darasani ulikuwa unapata sifuri kabisa na ata kukopi ubaoni ulikuwa unashindwa au wewe ni kipofu?
hivi kama una akili timamu na macho yenye afya kweli ulitegemea twiga kwenye hizo ndege mbili tofauti wafanane hata kwa kuangalia kwa macho tuu uoni utofauti mkubwa kwenye ukubwa wa mabawa ya hizo ndege mbili unazo linganisha?
Hivi wewe mnywa viroba unafikiri picha iliyochorwa kwenye TSH 200 ina ukubwa sawa na picha iliyochorwa kwenye TSH 1000.
Wewe kama si mlevi basi ni mwehu.
mama mbona unatoka povu, ishu huwa ni scale tu haijalish ukubwa.
 
Wabongo hawishagi Maneno..kila siku stori mpya za ajabuajabu..[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Mmmhh naona siku hizi twiga wanakabiriwa na ugonjwa yule wa kwenye mapanga shaa naona sijui ana kibiyongo au ndo kainama kashika magoti kama salome wa Mondi???
 
Huyo ni Twiga wa siku hizi,inaonyesha hujaenda mbugani siku nyingi?,vifupi viko kama vinataka kukimbia.
 
Back
Top Bottom