Huko ndiko kwenye gereji za denge?Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Lazima tuzidiwe wewe mwenyewe umekaa kulalamika tu humu huna kitu chochote ulichoifanyia nchi hii unasubiri watu wengine wakufanyie.Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
HahahahLazima tuzidiwe wewe mwenyewe umekaa kulalamika tu humu huna kitu chochote ulichoifanyia nchi hii unasubiri watu wengine wakufanyie.
"geleji" ya ndege ipo daslam NIT-Mabibo.Hapa kwetu hamna gereji za ndege?
Tippa mkuu.Imepakiwa Kwenye nini
Wakati inaondoka ilikaguliwa?Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Na nyie watu hadi mnaboa kwani lini hii nchi upigaji ulikwisha, akiwepo mwenda zake tu licha ya kujisifu walikuwa wanapiga tu!!mfano huko ATCL, walipiga bilioni mbili za matengenezo ya ndege, wakati ndege ilishakufa toka 2015!!kulingana na ripoti ya CAG!!kwani gari linapolekwa service huwa linaenda vipi?!!kuhusu kisiwa cha malta kuwa ni kudogo haina mashiko, kwani hayo makampuni yanayotengeneza hizo ndege, yanaamua wapi waweke kituo chao cha kufanyia service.Ni swali hata Mimi nimejiuliza... Au upigaji umeanza? Tena Malta ka nchi kadogo...
Mafundi wengi nguli washastaafu,wengineWanakimblia urubani tu ufundi je?
Tofautisha service na maintananceService huwa inafanyika nje!
Hiyo ni kawaida tu mbona
Ova
ya zamani hii.Hii si mpya? Imekuaje tena?
Mbona enzi za Mwendazake ndege tulikua tukizipiga rangi wenyewe, leo hii matengenezo tu zinapelekwa Malta kwenye kainchi kadogo hata wakazi wake hawafiki million moja!Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Swali zuri mkuu KWA Sasa ndege zinaendelea ongezeka au zimeongezeka , lazima kuwa na mawazo mapana SasaIna maana sisi hatuwezi kutengeneza
Tutapigwa sana mpaka ATCL ife kifo cha pili tutakuwa tuna adabu njema.Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL