Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Hapa kwetu hamna gereji za ndege?
Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
Sasa zile kalakna tulijenga za nn?Service huwa inafanyika nje!
Hiyo ni kawaida tu mbona
Ova
Kwanini isiwekwe oil hapa hapa nchini, eti nyie mainjinia kwani tukiweke oil ya V8 yangu si itafaa?Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
Tunajifanya wakuda ndio maan watu wenye akili hawawezi kuja kuwekeza.Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
itakuwa Das8 Q300,Ndege ipi? Zipo nyingi itajeni tujue isije kuwa imeenda kupakwa rangi tu
Yani ni hatari ilioje... Kalakana tumejenga. Kia tumejenga pia, huu ubovu ni wa aina gani ambao umewezesha ndege kupa masaa mengi mpka Malta lakini tume shindwa kufanya hapa nyumbani... Na madege mengine kama presishen nao ni hivyo hivyo?Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
Service kubwa inafanyika njeSasa zile kalakna tulijenga za nn?
Sasa kama ccm inatupelekesha kama misukule yake ya Mataga, unategemea nini! Hatuna tunacho kiweza sisi! Kote ni shida tu! 😌Kanchi kenye wakazi 500,000 kametuzidi akili wenye wakazi milioni 60? Mpaka gereji zao ndo tunapeleka ndege kumwaga oil?
UshapigwaMtupe na gharama za maintanance
Toooba yarabi yaani tuliambiwa kuwa hizo ndege ni mpya kabisa kutoka kiwandani na Jiwe.Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Mitumba inatengenezeka?Ina maana sisi hatuwezi kutengeneza
Taarifa rasmi iliyotolewa leo Mei 17, 2021 na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeeleza kuwa Ndege 1 ya Shrika la Ndege Tanzania (ATCL) imepelekwa nchini Malta kwa ajili ya kufanyiwa matengenezo
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Sasa Pale DIT na VETA zetu zinafundisha nini?Wamewekeza katika watu kwa kutilia mkazo elimu kama ufundi.