Nasi Tutengeneze Maisha Yetu Ya Mbele Kwa Kutenda Yale Yali Mema
Ndege imeanguka Mwanza na watu wamepoteza maisha.Badala ya kuhabarishana,watu wanaanza kutumia thread hii kupigana vijembe kama kwenye taarabu.
Ah,wakati mwingine inatia kichefuchefu.
wana JF tujadili nini cha kufanya kuzuia ajali za ndege kule kwetu tanzania maana hata huku tulipo zipo ila inabidi wenye udhoefu tunaomba wachangie mada jamani,,,,tumeona ajli za mabasi zimefululiza mpaka tukaambiwa kila gari speed gavana wakala hela zetu wakina sumaye na wenzake,,,ajali zinaendeleaa,,wamekuja wengine tuaambiwa askari wanaongezeka kila baaad ya mita kadhaa wapi ":"""ISRAEL BADO ANAKULA KICHWA"" so hivi punde kaja mkuu KOMBE naye anayake ya kuzuia ajali bado na si hilo nimeambiwa siku hizi folen haziishi dar es salaam jamaa ameshindwa kabisa kucontrol hata """TRAFFIC JAM"" aje kuzuia ajali,,so wenzangu wa anga tusaidiane kuelekeza nini cha kufanya,,,kuna ajali ya mbeya ya ndege watu wamechuna tukahisi yanaisha kumbe "mkuu ISRLE"" YUKO safarini....
je kuanguksa kwa ndege nini chanzo