Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana

wataimarika wakimshirikisha mungu na kuacha kwenda kwa waganga...hakika mungu anaweza na kuirudisha atcl ilipotoka kwa nia njema tu nasema hili
Hivi hata mashirika ya umma yaani mali ya serikali wanakwenda kwa waganga?????

 

Attachments

  • Photo0044.jpg
    Photo0044.jpg
    85.2 KB · Views: 39
Mdau, toa wasiwasi kuhusu hilo jina. Huyu Ndg, Chizi alishawahi kuwa Meneja Masoko wa ATCL nchini Africa Kusini, alifanya kazi nzuri hadi kuwezesha ATCL kupata abiria wengi sana. Alileta ushindani mkubwa sana kati ya ATCL na South African Airways. Baadaye aliamua kuacha kazi na kuwa mshauri ktk mambo ya biashara pamoja na huduma kwa wateja.
Basi kama ni hivyo ATCL wamepata mtaalamu sio hao magumashi wanasiasa!!! Wanasiasa wameua mashirika mengi ya umma!!!! Wakiharibu huko wanapewa ukuu wa mikoa enzi hizo na post nyingine serikalini kibao!!!

 
Mdau, toa wasiwasi kuhusu hilo jina. Huyu Ndg, Chizi alishawahi kuwa Meneja Masoko wa ATCL nchini Africa Kusini, alifanya kazi nzuri hadi kuwezesha ATCL kupata abiria wengi sana. Alileta ushindani mkubwa sana kati ya ATCL na South African Airways. Baadaye aliamua kuacha kazi na kuwa mshauri ktk mambo ya biashara pamoja na huduma kwa wateja.

Hapo pana utata........SAA ilikuwa inaimiliki ATCL huu ushindani ulitoka wapi?
 
MGODI NAOMBA UMTAKE RADHI KAMA SIO KUNITAKA NA MIMI
ANAITWA ENG Mengine waweza endelea ndg chizi ,mjomba chizi lakini naomba uheshimu vyeo vyetu atukuvipata on line bana na kutumiwa tkt za ndege kuzichukua...salute eng..binafsi nenda ukaangalie sehemu wanazosimamia ma Eng ata upuuzi wa kuiba iba aupo ingawa tunaiba kwa akili sio kama wehu walisomea biashara na kutaka kuiba bila kujali vya kesho nimeuliza kwa nini wasimkaimishe milele waachane na biashara za kukaimu kila cheo
Mkuu kuiba ni dhambi utawarithisha watoto wako laaana, ogopa wizi tumia akili zako mandhali upo kwenye position. Unaweza hata ya kupata mkopo ukazalisha mali au ukafanya biashara hata kilimo kuliko kuwa mwizi ni laana !!!!

 
BASIASI Kwa mfumo huu wa serikal ya Tanzania mbona utaipenda tu. We hujaskia walvyoweng huko kwenye mikoa, wilaya na tarafa? Muozo, muozo, muozo kuanzia mzizi hadi tawi la mwsho.
 
Last edited by a moderator:
ngoja precision wasikie wataiangusha sasa hivi ! Hao jamaa noma sana ! Hao ndio wanahusika na ndege kuanguka anguka ili kuua mashirika hayo! Atc kaza buti hakika mkijipanga vizuri mtaweza, kila la kheri , na safari zote za serikali na mashirika ua umma inabidi mpewe nyie ili kuiinua shirika ! Hapo ndio soo la precision linapoanza



..precision wananunua ndege mpya sio hizi za kukodi,ndege za atcl ni mbovu sana kwa sasa huwezi kunishawishi kuipanda hata wapunguze nauli asilimia 80,kwa nini na wao wasinunue,nenda kenya uone vitu kwani pale hakuna ndege za mashirika mengine mbona hazianguki ovyo
 
MGODI NAOMBA UMTAKE RADHI KAMA SIO KUNITAKA NA MIMI
ANAITWA ENG Mengine waweza endelea ndg chizi ,mjomba chizi lakini naomba uheshimu vyeo vyetu atukuvipata on line bana na kutumiwa tkt za ndege kuzichukua...salute eng..binafsi nenda ukaangalie sehemu wanazosimamia ma Eng ata upuuzi wa kuiba iba aupo ingawa tunaiba kwa akili sio kama wehu walisomea biashara na kutaka kuiba bila kujali vya kesho nimeuliza kwa nini wasimkaimishe milele waachane na biashara za kukaimu kila cheo

Mkuu inatosha kumpa Eng. Chizi heshima yake. Huna haja ya kuendeleza sifa kwa "ma Eng" wote wa Tanzania. Sijui kama umejaribu kupata data za viwango vya wizi ambavyo vimefanikishwa kwenye miradi ya barabara tu kupitia Wizara ya Ujenzi tangu enzi za mipango kama ule wa 6th Highway Programme hadi leo. Huko ndiko wengine tulikoanza kusikia baadhi ya wahandisi wa Kitanzania wakijipatia umilionea wa pesa ngumu (US$ millions)!
 
Jamani, mie nashangaa sana. Hizi Boeing za zamani kama hii 737-500 zinajulikana kuwa fuel guzzlers. Hata hii ya sasa, Boeing 737-800 inasemekana bado ina rate kubwa ya utumiaji mafuta ukilinganisha na equivalent Airbus kwa mfano. Sasa leo hii kwa bei za mpao za mafuta bado tunaingia mkataba wa kukodisha ndege ambayo inajulikana kuwa sio economical kwenye kutumia mafuta? Je, tumesahau kwamba kwa sasa hivi the biggest concern kwa airlines ni gharama za mafuta? Yaani mie nachoka kabisa.

Nahisi kwa kuwa tatizo letu kubwa limekuwa mikataba, safari hii tumepeleka team ya wanasheria sharp kukodi ndege, tukasahau kwamba mkataba mzuri sio kwa kuwa tu una vipengele vizuri vya sheria, bali suala la aina ya technology ya ndege ni muhimu pia.

Kwanza hizi Boeing 737-series zina tatizo kubwa la fusilage fatigue. Sijui kama wamefikiria hili.
 
Jamani, mie nashangaa sana. Hizi Boeing za zamani kama hii 737-500 zinajulikana kuwa fuel guzzlers. Hata hii ya sasa, Boeing 737-800 inasemekana bado ina rate kubwa ya utumiaji mafuta ukilinganisha na equivalent Airbus kwa mfano. Sasa leo hii kwa bei za mpao za mafuta bado tunaingia mkataba wa kukodisha ndege ambayo inajulikana kuwa sio economical kwenye kutumia mafuta? Je, tumesahau kwamba kwa sasa hivi the biggest concern kwa airlines ni gharama za mafuta? Yaani mie nachoka kabisa.

Nahisi kwa kuwa tatizo letu kubwa limekuwa mikataba, safari hii tumepeleka team ya wanasheria sharp kukodi ndege, tukasahau kwamba mkataba mzuri sio kwa kuwa tu una vipengele vizuri vya sheria, bali suala la aina ya technology ya ndege ni muhimu pia.

Kwanza hizi Boeing 737-series zina tatizo kubwa la fusilage fatigue. Sijui kama wamefikiria hili.
waleteee bombadier!!
 
wakati tukiendelea kuisubiri ndege yetu mpya as per thread tujiulize

Airbus ya ATCL imeishia wapi jamani?
Hivi hii ndege ilikwendaga wapi jamani nakumbuka niliipanda kwenda mwanza sana baadae nikasikia iko safari kwa matengenezo nikahamia precission
Badae niakapata taarifa inarudi lakini nikiwa njian na KEnyaairways nikaiona pale airport niliporudi sikuisikia tena jamani embu tujulishane na ule mkataba wake tuliuosoma wa kuliapana doller 360,000 na huku mhusika akila 260,000usd huku 100,000usd kila mwezi zikiingia mifukoni mwa wakubwa wapo walioshauri matumizi mabayaya hii ndege wapo waliokuja na vieelelezo vya uhuni wamkataba huu serikali embu e;elezeni mnatumia hela za watanzania wjaue hela zao zimeenda wapi???ama mlikuwa kwenye mchakato wa kugawiwana pesa kutumia mgongo wa ATCL???
 
Back
Top Bottom