Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana

Mkuu inatosha kumpa Eng. Chizi heshima yake. Huna haja ya kuendeleza sifa kwa "ma Eng" wote wa Tanzania. Sijui kama umejaribu kupata data za viwango vya wizi ambavyo vimefanikishwa kwenye miradi ya barabara tu kupitia Wizara ya Ujenzi tangu enzi za mipango kama ule wa 6th Highway Programme hadi leo. Huko ndiko wengine tulikoanza kusikia baadhi ya wahandisi wa Kitanzania wakijipatia umilionea wa pesa ngumu (US$ millions)!

Nimeipenda hii tafsiri ya hard currency
 
Sijui kwa nini:
  1. tunakodi ndege badala ya kununua
  2. tena tunakodi kwa ma middle men wakati tukienda boeing ndege zipo kibao. Hawa aerovista wana ndege nane tu


  1. Kweli kabisa mkuu. Kwa mfano Boeing 737-600 (which has replaced Boeing 737-500) yenye uwezo wa kubeba abiria kuanzia 110 hadi 132 inauzwa kwa USD milioni 59.4 ambazo ni sawa na Tshs. bil 95 hivi. Sasa kweli serikali inashindwa kununua ndege kwa bei hiyo? Inaonekana hii biashara ya kukodi ndege haina tofauti na miradi ya kifisadi ya majenereta ya akina Rostam na EL yanayotufanya tusipate umeme wa uhakika. Inabidi wananchi tupige kelele kwa hili.

    Ukitaka kuona bei za ndege za Boeing gonga hapa http://www.boeing.com/commercial/prices/
 
Ikiingia anga ya tanzania leo nichapeni makofi tafadhali
air time change
usiniulize zaidi "the wings of kilimanjaro""bado narudia tunaitajiwa afanyakazi proffesionals wanaohusika na dep halisi na sio tu unamweka mkweo ama mtoto wa shangazi anasambaza ujumbe wa ajabu wakati ajajua ndege inaitaji nini zaidi kutua tanzania na je hivyo vitu vimepatikana

ni yale yale tunaitaji watu wanaojua anini kinachotakiwa Wafanye kwenye sehemu zao za kazi,,anyway
 
[h=2]
icon3.png
David Mataka Kizimbani[/h]
_matakaa.jpg
HALAFU MTU KAMA HUYU BADO ANAENDELEA KUBADILISHA BAR KILA KONA AKIAMUNGU HUYU RAIS ..TUNAMWAMBIA ATATUE TATIZO NA SIO KUBADILISHA WATU ..MTU KAMA HUYU ALIETOKA PPF NA KESI YA WIZI ANAIBA ATCL UNAMWACHA CHINA INZI WANGESHAKUWA WAMEMSHAMBULIA HUKO CHINI WAKAMWACHA SIJUI TUNAKWENDA WAPI.......
 
Hivi na heshima zote Nundu alizokuwa nazo duniani kwenye sekta ya anga,na bado akaprove failure...

Mhmm.. Nadhani Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo!
 
kuna milima ya udizungwa, kule tanga kuna yale machimbo ya marumaru, huko mtwara kuna gesi yaani hatutakosa sehemu ya kuwapa usitie shaka kiongozi tanzania ni nchi tajiri sana,
bado mbuga zetu zina wanyama wa kutosha wale twiga hawajaiha, safari hii hata tembo tutatoa kwani wamezaliana sana

Safari hii tutawalipa zile nyumba pale kilimani Msoga!!
 
mkuu viongozi wote atcl ni makaimu
-kaimu mkurugenzi mkuu
-kaimu mkurugenzi wa biashara
-kaimu mkurugenzi wa masoko

-kaimu cfo
nafikiri hili jambo ni muhimu kuangalia kama tunaaka atcl ilioimara mwisho tutakaimisha
wavuta bangi tunapoelekea..kuna watu wanakaimu miaka miwili kwa nini wasiidhinishwe ama kupewa kabisa badala ya kuwaita makaimu kaimu neno silipendi sana sana

Sio hivyo tu Nundu wakishirikiana na Chizi ndio walikuwa wanaliendesha shirika wao wawili kwani mpaka sasa hakuna bodi ya wakurugenzi!!! Mwakyembe will have to move fast to nominate members to this board ama sivyo anaweza kuharibikiwa mapema.
 
Back
Top Bottom