Ndege mpya ya ATCL kutua Dar leo mchana

b737-2h3adv-a6-avf-aerovista-gulf-express-vgf-dubai-dxb-omdb.jpg
 
kama pesa za kununua ndege ya rais zipo, kwa nini tukose pesa za kununua ndege ya kufanya biashara na kuongeza ajira kwa watanzania?


kama maramba alisema tule majani tukala ikanunuliwa ndege ya rais kwa nini tusile mchunga ikanunuliwa ndege ya atcl??
 
hahahahahahaha...wanafanya kazi kama jina la kaimu mkurugenzi wao. Hahahahaha. Tanzania shangwe tu
 
wameekodisha tena ndege wakishinda kulipa watatoa bandari ipi? ya Tanga?
hivi badala ya kuiacha nchi hii na rasilimali zake kama vile havina mwenyewe, Dr. Mwakyembe si alazimishe kama waziri na kusimamisha huo mkataba wa Chizi. Hii inaweza kutusaidia kulipa gharama ndogo za kuvunja mkataba leo badala ya kukaa na hiyo ndege ambayo kwa 95% ninaamini hakuna mtu mwenye nia na uwezo wa kuliendesha hilo shirika mbali na kuchumia matumbo yao. Kwa haraka naona baada ya kupoteza bandari ya Mtwara sasa naiona Serengeti kichukuliwa na Waarabu kiulaini!

Pia niulize swali:
Kuna mwenye details za makampuni haya (
Precisionair, Costal Aviation, Tanzan air, Auricair) kuwa wana ndege ngapi ngapi na kati ya hizo ni ngapi wanazimiliki kama zao na ngapi wanakodisha!?

Kama wanaweza kuzimiliki basi ni kwa nini ATCL isinunua hata zile ndogo za kubeba watu 9 lakini ya kwetu badala ya boing ya kutuletea hasara?


 
Precisionair imekuwa kama CCM, wamejisahau sana hawa. Customer care ni sifuri na hizo bei za ticket kwa kweli zinanitia kichefu chefu. Nitafurahi kuona competition, Good luck good old Air Tanzania, nawatakia mafaniko ya haraka mtuokoe katika hili gonjwa liitwalo monopoly.
 
hahahahahahaha...wanafanya kazi kama jina la kaimu mkurugenzi wao. Hahahahaha. Tanzania shangwe tu
mkuu viongozi wote atcl ni makaimu
-kaimu mkurugenzi mkuu
-kaimu mkurugenzi wa biashara
-kaimu mkurugenzi wa masoko

-kaimu cfo
nafikiri hili jambo ni muhimu kuangalia kama tunaaka atcl ilioimara mwisho tutakaimisha
wavuta bangi tunapoelekea..kuna watu wanakaimu miaka miwili kwa nini wasiidhinishwe ama kupewa kabisa badala ya kuwaita makaimu kaimu neno silipendi sana sana
 
Sijui kwa nini:
  1. tunakodi ndege badala ya kununua
  2. tena tunakodi kwa ma middle men wakati tukienda boeing ndege zipo kibao. Hawa aerovista wana ndege nane tu
 
Ngoja Precision wasikie WATAIANGUSHA SASA HIVI ! hao jamaa Noma sana ! hao ndio wanahusika na ndege kuanguka anguka ili kuua mashirika hayo! ATC kaza buti hakika mkijipanga vizuri mtaweza, Kila la KHERI , na safari zote za serikali na mashirika ua umma inabidi mpewe nyie ili kuiinua shirika ! hapo ndio soo la precision linapoanza

Hakuna haja ya kuisingizia Precision. Ukweli ni kuwa ATC/ATCL ilikuwa grossly mismanaged huko nyuma. wajisahihishe tu.
 
Corporate Profile​
The Aerovista group of companies has been in operation for more than 13 years and is represented today by two essential arms: Aerovista (UAE) and Vista Georgia (Georgia).

Aerovista is the management arm of the group, an integrated leasing operator, providing charter and leasing solutions to start up airlines as well as full scope of aviation related services.

Vista Georgia is the operating arm of the group, conducting charter and leasing projects throughout the Middle East, CIS and North Africa regions.

In the world of leasing solutions, Aerovista stands apart from the crowd through its offering of Hybrid ACMI, a highly flexible, unbundled approach that is customer friendly.
The vision of Aerovista is
to be a global leader in the delivery of innovative
and value adding leasing & charter solutions
in fast-growing, emerging markets​
TO BE A GLOBAL LEADER​
pointer.png
By being a global leader, we sustain our growth by setting the bar high, we continuously challenge ourselves
IN THE DELIVERY OF INNOVATION​
pointer.png
We will only lead through innovation, through finding new and better answers to the questions our clients pose
AND VALUE ADDED SERVICES​
pointer.png
Adding value means going beyond expectations. Flexibility and transparency will form the basis of our competitive edge
LEASING & CHARTER SOLUTIONS​
pointer.png
Our focus is on wet lease capacity solutions and charter projects, custom-built around a client's individual needs
IN FAST GROWING EMERGING MARKETS​
pointer.png
Our marketplace will be the fast growing economies of the world, where we bring specific, valuable and not easily replicable skills
 
Hiyo ndio hofu yangu! Btw, umeona jina la huyo meneja? Jina lake tu linanikatisha tamaa, Chizi?!!!!" Kuna shirika tena hapo?

Mdau, toa wasiwasi kuhusu hilo jina. Huyu Ndg, Chizi alishawahi kuwa Meneja Masoko wa ATCL nchini Africa Kusini, alifanya kazi nzuri hadi kuwezesha ATCL kupata abiria wengi sana. Alileta ushindani mkubwa sana kati ya ATCL na South African Airways. Baadaye aliamua kuacha kazi na kuwa mshauri ktk mambo ya biashara pamoja na huduma kwa wateja.
 
AEROVISTA, A LEADING AIRLINE SOLUTIONS PROVIDER

The business of Aerovista is to offer expert wet lease and charter solutions as well as related ancillary services to clients in fast-growing, emerging markets. The airline creates and executes tailor-made answers to the specific requirements of clients in an open and transparent manner.

From its home base in Dubai in the UAE, Aerovista serves a client base throughout the Middle East, Africa and the CIS. The Aerovista leadership team has extensive expertise in the field of airline set-up and operations, together with a broad network of senior industry relationships with airline customers, aircraft/engine manufacturers, lessors and regulators worldwide.

Fly Aerovista
The airline is currently in the midst of embarking on its biggest ever expansion drive. Through its Vista 2015 Strategic Plan, the company intends to triple the size of its fleet, expand into new regions and grow the scale of the services it offers.

It is planned that Aerovista's fleet will grow from 5 aircraft in 2011 to 11 aircraft by 2015. Aerovista operations will consolidate around the B737-Classic and toward the end of the planning cycle, it is expected that its first B737-NGs will be introduced.

Through the Vista 2015 plan, Aerovista will focus on three business lines: ACMI, Charter and Ancillary Services and target three geographic regions: Africa, the Middle East and the CIS.
The Fleet
Aerovista has designed its fleet around the Boeing 737 Family. Using one common type ensures a single pilot pool, a single team of engineers and a single inventory of aircraft spares, contributing to economies of scale and lower operating costs for our clients.

The world's most popular single-aisle aircraft, the 737 is perfectly matched to missions around the world and with Aerovista offering different sizes, from the 126-seat 737-200 to the 148-seat 737-300, clients are offered the optimum capacity for their market requirement.
CURRENT FLEET
aerovista-fleet.png
AircraftNumber in fleetCapacityRange
Boeing 737-500 2126 Y Seats2,400nm
Boeing 737-300 2148 Y Seats2,200nm
Boeing 737-200 2126 Y Seats1,900nm
TO JOIN THE FLEET
aerovista-fleet.png
AircraftNumber in fleetCapacityRange
Boeing 737 NG2--
Boeing 737-4002--
 
Mdau, toa wasiwasi kuhusu hilo jina. Huyu Ndg, Chizi alishawahi kuwa Meneja Masoko wa ATCL nchini Africa Kusini, alifanya kazi nzuri hadi kuwezesha ATCL kupata abiria wengi sana. Alileta ushindani mkubwa sana kati ya ATCL na South African Airways. Baadaye aliamua kuacha kazi na kuwa mshauri ktk mambo ya biashara pamoja na huduma kwa wateja.

MGODI NAOMBA UMTAKE RADHI KAMA SIO KUNITAKA NA MIMI
ANAITWA ENG Mengine waweza endelea ndg chizi ,mjomba chizi lakini naomba uheshimu vyeo vyetu atukuvipata on line bana na kutumiwa tkt za ndege kuzichukua...salute eng..binafsi nenda ukaangalie sehemu wanazosimamia ma Eng ata upuuzi wa kuiba iba aupo ingawa tunaiba kwa akili sio kama wehu walisomea biashara na kutaka kuiba bila kujali vya kesho nimeuliza kwa nini wasimkaimishe milele waachane na biashara za kukaimu kila cheo
 
Wana onge aki siasa zaidi.Hiyo ndege ni mtumba na bila shaka imekodishwa.
mkuu mashirika mengi ya afrika yanakodisha mitumba hiyo usiogope swala ni uongozi na plan za biashara tu kuendeleza kampuni basi...wish them all the best..wakila wakumbuke na vya kesho
 
Back
Top Bottom