ngopyolo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 1,941
- 1,517
Hazijanunuliwa kwa kodi bali kwa pesa za wastaafu na kangomba!Sasa aibu kwa nani wakati hizo ndege zimenunuliwa kwa kodi zetu? Ingekua ni pesa za huyo mpenda sifa toka mfukoni mwake kweli ingekua aibu lakini kodi za wananchi au ndo ujinga na ushamba wa kiwango cha SGR