Ndege mbili kutua kwa mpigo Disemba hii

Sasa aibu kwa nani wakati hizo ndege zimenunuliwa kwa kodi zetu? Ingekua ni pesa za huyo mpenda sifa toka mfukoni mwake kweli ingekua aibu lakini kodi za wananchi au ndo ujinga na ushamba wa kiwango cha SGR
Hazijanunuliwa kwa kodi bali kwa pesa za wastaafu na kangomba!
 
Mkuu VAPS ndege aina ya A220-300 nI muafaka kwa soko la ndani. Ni abiria 132. Which busness life are you referring to? TZ is the most connected country as far as airports infrastructure are concerned. S9 far the choice is right. Q400 can not satisfy populated markets such as Mwanza Kili and Mbeya and now comes dodoma!



QUOTE="VAPS, post: 29554449, member: 92403"]Ipo Siku tutaukumbuka Ushauri wa kuanza focus na ndege za ndani na maboresho viwanja kupokea na kusambaza watalipwa.Safari za nje Ndege kubwa mahusiano na vivutio ndege mashirika makubwa. Business Life is in stages.[/QUOTE]
 
Umeondolewa kwenye payroll ya Lumumba mitandaoni team 250,000/=per month!!!¿ siku hizi kazi yako kuiponda serikali tuuu
Mimi nilikuwa ni mwanachama na mpenzi wa dhati wa Chama Cha Mapinduzi nilikuwa silipwi nilikuwa nimejitolea kukiunga mkono Chama changu cha awali.

Ila nimeamua kukihama Chama cha Mapinduzi baada ya kushuhudia mambo ambayo nimeona hayako sawa ilani inapuuzwa katiba inapuuzwa,na mambo mengi ya kutisha dhidi ya wananchi.

Nilipokuwa ndani ya CCM nimeshuhudia haswa katika (awamu hii ya tano)mambo ya "kinazi" wanayofanyiwa wapinzani (ambao wapo kikatiba) ukiukwaji wa haki za binadamu.

Nimeamua kukihama Chama cha Mapinduzi kwa ridhaa yangu bila ya kulazimishwa na nimejiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo

Wapinzani sio maadui kama tulivyoaminishwa huko nyuma wapinzani ndio wakosoaji na wachokonozi wakubwa tokea nihamie Chadema nimeanza kuufahamu upinzani vyema kabisa hakuna Udini wala Ukabila.
 
Mimi nilikuwa ni mwanachama na mpenzi wa dhati wa Chama Cha Mapinduzi nilikuwa silipwi nilikuwa nimejitolea kukiunga mkono Chama changu cha awali.

Ila nimeamua kukihama Chama cha Mapinduzi baada ya kushuhudia mambo ambayo nimeona hayako sawa ilani inapuuzwa katiba inapuuzwa,na mambo mengi ya kutisha dhidi ya wananchi.

Nilipokuwa ndani ya CCM nimeshuhudia haswa katika (awamu hii ya tano)mambo ya "kinazi" wanayofanyiwa wapinzani (ambao wapo kikatiba) ukiukwaji wa haki za binadamu.

Nimeamua kukihama Chama cha Mapinduzi kwa ridhaa yangu bila ya kulazimishwa na nimejiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo

Wapinzani sio maadui kama tulivyoaminishwa huko nyuma wapinzani ndio wakosoaji na wachokonozi wakubwa tokea nihamie Chadema nimeanza kuufahamu upinzani vyema kabisa hakuna Udini wala Ukabila.
Usingehama ungebaki ndani ya ccm na ulete mabadiliko ndani ya ccm,kwani uko chadema kuna demokrasia na ubinadamu!??,wanatii katiba yao???
 
Usingehama ungebaki ndani ya ccm na ulete mabadiliko ndani ya ccm,kwani uko chadema kuna demokrasia na ubinadamu!??,wanatii katiba yao???
Sijaandikiwa na Daktari kuwa nibaki CCM "milele" (kama mwenyekiti alivyosema) nimeamua kukihama Chama Cha Mapinduzi kwa ridhaa yangu..
 
kwani uko chadema kuna demokrasia na ubinadamu!??,wanatii katiba yao???
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kina mapungufu yake japo ni kidogo ila tutakijenga kwa pamoja ili kikubalike haswa huko Visiwani na ikiwezekana kuungana na CUF ya huko visiwani.
 
2ba05df5d3d05514-Kids-NOT-in-Class_sm.jpg
 
Ipo Siku tutaukumbuka Ushauri wa kuanza focus na ndege za ndani na maboresho viwanja kupokea na kusambaza watalipwa.Safari za nje Ndege kubwa mahusiano na vivutio ndege mashirika makubwa. Business Life is in stages.
Mtu atakae elewa hii kitu anijuze.
 
Kama namuona kaka ZZK na yule mzee wa Belgium, wakijiandaa kuandika nyaraka zao na kuzirusha humu jukwaani.

Mdogo mdogo tunaanza kupiga hatua za kimaendeleo.
 
Tar 23 December 2018... ndege za kisasa kabisa hizi za Airbus A220-300, zitatua Dar..

Hongera za kipekee ziende kwa Mh. Rais wetu mpendwa JPM..!!
 
Back
Top Bottom