Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Ushamba na ulughalugha wa awamu hii ni mzigo kwa watanzania.
ulimbukeni mtupu huu.Shetani hajawahi kushinda popote pale,kuna watu wasipopata msaada wa kisaikolojia wataanza kuongea wenyewe barabaraniView attachment 963096
😂nawe utakuwepo mkuu?Kwahiyo tutegemee serikali kuwa Airport hii December?
Wakubwa serikalini inabidi siku hiyo wote wawepo pale Airport..mpaka viongozi wa Dini.Kwahiyo tutegemee serikali kuwa Airport hii December?
Shetani hajawahi kushinda popote pale,kuna watu wasipopata msaada wa kisaikolojia wataanza kuongea wenyewe barabaraniView attachment 963096
Tayari wanaongea wenyewe wodini.Shetani hajawahi kushinda popote pale,kuna watu wasipopata msaada wa kisaikolojia wataanza kuongea wenyewe barabaraniView attachment 963096
Labda cuf ambao wana ofisi buguruni..ila sio kwa chama ambacho hata ofisi kimepangisha na kinapata ruzuku kuliko chama chochote cha upinzani.Pongezi sana kwa serikali, ila tukumbushane tu chama chochote kikishika madaraka kinaweza kufanya hivi vitu vidogo vidogo vya kutumia asilimia 0.06% ya bajeti
Hahaha Yani huyu Jamaa mpaka kumaliza miaka yake 10 itaicha mbali sana Tz
Shetani hajawahi kushinda popote pale,kuna watu wasipopata msaada wa kisaikolojia wataanza kuongea wenyewe barabaraniView attachment 963096
Ruksa kutoa povu, endeleaLabda cuf ambao wana ofisi buguruni..ila sio kwa chama ambacho hata ofisi kimepangisha na kinapata ruzuku kuliko chama chochote cha upinzani.
Dreamliner inaruka mara moja tu kwa siku ushawahi jiuliza kwanini? Sababu haina wateja wa kuweza kumudu gharama za urukaji wakeZitto sikuhizi kaamua kujikalia kimya kuhusu ndege maana alitudanganya kweli! Mara terrible teens sijui mara nini sijui kapwaya mpaka basi
Umeondolewa kwenye payroll ya Lumumba mitandaoni team 250,000/=per month!!!¿ siku hizi kazi yako kuiponda serikali tuuuView attachment 963263
Vipaumbele ni tatizo katika awamu hii
Huna tofauti na nyoka amgongae ng'ombe asiyeweza kummeza! Ulishawahi kutumia usafiri wa anga kwa namna yoyote ukiwa ndani ya nchi? Vipi kuhusu nduguzo nao hutumia usafiri huu? Bibi, babu na wajomba zako pamoja na mashangazi kuna hata mmoja autumiao usafiri wa anga? Unakusaidiaje moja kwa moja? Tabia ya nyoka!Shetani hajawahi kushinda popote pale,kuna watu wasipopata msaada wa kisaikolojia wataanza kuongea wenyewe barabaraniView attachment 963096