Ndani ya SCOAN 29 Dec

Ndani ya SCOAN 29 Dec

Kuna huyu bwana mohamed toka tanzania, aliyeponywa masikio, lafudhi yake inatia shaka, huenda anatumia pasi ya tz.
 
Kuna huyu bwana mohamed toka tanzania, aliyeponywa masikio, lafudhi yake inatia shaka, huenda anatumia pasi ya tz.

Hizo ni mbinu za kitapeli... usikubali kuwekwa mtu kati....! Hivi vitu vinapangwa....
 
Dini ya mtume @work.

Mimi sio dini unayofikiria ila ni mtu huru ninayejiuliza, hiyo miujiza yoooooooote kuanzia kufufua misukule mpaka vipofu kuona... mbona hajatokea mtu anayefahamika ambaye alikufa (kuchukuliwa misukule kama wanavyodai) au kipofu ambaye atatuthibitishia kuwa amefanyiwa hiyo miujiza? Haya matukio ni makubwa kiasi ambacho hayawezi kutokea bila kujulika!
 
1: Rais wa Malawi ndani ya nyumba ya ibada
2: Deligates kutoka South Sudan, wamekuja na barua kutoka kwa rais akishukuru na kuomba sala zaidi kuhusu unrest iliyopo. Sala imeendeshwa ya cease fire Now.
3: Mwaka 2014 ni 'bridge' year
4: Mataifa madogo yatainuka na makubwa yataporomoka.
5: Opressers next year is not their year.
msimu huu hujaenda na kaka fred kuomba urais..
 
scoan 29 ni nini? Samahan kwa ujinga wangu
 
Namuona ndugu Mohamed toka Tanzania kaponywa uziwi alokuwa nao kwa miaka 13 hapa na sasa anasikia na kuongea vizuri.
hapo juu Adiel kadai miaka miwili,we nae unadai miaka 13!tumuelewe nani?endeleeni mashabiki
 
1: Rais wa Malawi ndani ya nyumba ya ibada
2: Deligates kutoka South Sudan, wamekuja na barua kutoka kwa rais akishukuru na kuomba sala zaidi kuhusu unrest iliyopo. Sala imeendeshwa ya cease fire Now.
3: Mwaka 2014 ni 'bridge' year
4: Mataifa madogo yatainuka na makubwa yataporomoka.
5: Opressers next year is not their year.
Hiyo no. 5 si Marekani kweli....
 
Kama Watanzania hawataamka na kulisimamia kwa taifa lao, Mungu hatashughulika nao, na utabiri wa watabiri wote UTAPITA KAMA UPEPO.

Mungu hapendi wavivu (wa kufikiri na kutenda), hasa wale ambao nyoka anapoingia nyumbani mwao, wao hukimbilia kwa jirani kuomba msaada huku wameshika gongo (silaha) mikononi mwao.
 
Back
Top Bottom