Umeulizwa chuo gani?Hela tayariiiiii n account imesoma 310k..j3 job kwa nidham ya hali ya juu
Umeulizwa swali chuo gani mbona hujibu....au ndo unajipa moyo otherwise jibu swali la msingi CHUO GANI???Nauli mi sijui kwa kweli..nmepewa 310k bado 310k ndo ninachofaham..kwa wale wenye maden sasa
Nadhani angekua karibu ungempa BANZI..!Umeulizwa swali chuo gani mbona hujibu....au ndo unajipa moyo otherwise jibu swali la msingi CHUO GANI???
Nadhani kitakua ni kile cha vilaz.a sasa anaona aibu kusema.Umeulizwa swali chuo gani mbona hujibu....au ndo unajipa moyo otherwise jibu swali la msingi CHUO GANI???
Una akaunti ya benki gani maana nimeangalia Salio langu CRDB hakuna kitu kilichoingizwa.Nauli mi sijui kwa kweli..nmepewa 310k bado 310k ndo ninachofaham..kwa wale wenye maden sasa
Mkuu hujakosea maana huyu jamaa nimemuuluza maswali yangu hajajibu sasa sijui ana makusudi ya kuturusha roho maana ilibidi niende kuangalia Salio nikakuta zero sasa aseme yeye kawekewa peke yake au ?Nadhani angekua karibu ungempa BANZI..!
Hata hicho cha..... Niko nao tunakula msoto lakini hakuna aliyesema hizo taarifa.bila shaka huyu si mnufaika ila anajipa majukumu ya kuturusha rohoNadhani kitakua ni kile cha vilaz.a sasa anaona aibu kusema.
Achana naye MWEHU huyo..!Mkuu hujakosea maana huyu jamaa nimemuuluza maswali yangu hajajibu sasa sijui ana makusudi ya kuturusha roho maana ilibidi niende kuangalia Salio nikakuta zero sasa aseme yeye kawekewa peke yake au ?
Uwe unahariri kwanza maandishi yako kabla hujatuma mkuu, hapa unamdharirisha mwalimu wako wa lugha na wahadhiri wa chuo chakodah kwa style ya uongozi wa awamu ya tano tuna shida kweli ndugu zanguni,maana vitu vilivyokuwa vinatajiwa vipewe kipaumbele kama mamb ya elimu ya juu na mikopo yani ndo hata rais haviongelew kabisa na wakat katka kamlen ndo zilikuwa sera kuu na mambo muhimu
tutakufa njaa ase wanafunzi
Sasa kafanye kazi za watu KIJANA..!Watu wanataka kiniua..haina haja ya kutaja chuo..ndo iweje sasa...we kama bado waulize vizur chuoni kwako mana pesa zmeshafika vyuoni
Tayari nini..?SUA tayari
Huyu si mnufaika isitoshe anategemea kujiunga kuwa mnufaika.Tayari nini..?
ndo wapi hapo?Home of VIPANGA wameshaingiziwa pesa tayari...
So kuweni na SUBIRA vijana...
Muda si mrefu na nyie wa vyuo vilivyosalia mambo yatakua MAZURI..!
Havardndo wapi hapo?