Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
Aliyekuwa Karibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, umerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
mkuu sio kila kitu ni cha kubeza.kama ni rahisi hivyo,mbona wewe unabidii ya kupost jf ,na haujafikia wadhifa wa huyo mama?!.halafu sio "Proffesor" ni Professor.