Unajitahidi kuandika ila inaonekana sio mfatiliaji? ponda na wenzake tunaomuunga mkono tumeomba taasisi yetu isajiliwe lakini serikali inakataa jaribu kufatilia hilo utaugundua ukweli.
Na kama umenisoma vizuri nimeuliza nimeuliza under Islam kuna makundi (naombe niite denominations) mangapi? Ni Sunni na Shia tu au kuna zaidi? Na Ponda anawakilisha kundi gani?
Kwa mfano huwezi kukuta Catholic church ina mabaraza zaidi ya moja. Je Ponda anataka kuvunja BAKWATA au anataka kusajili Baraza jingine in addition to BAKWATA? Na kwanini alikataliwa? Waliomkatalia waliamuambia nini specifically?