mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 799
hyo atabaki ccm kimkakati
Ina maana ccm itachangiwa kupigwa tokea ndani na nje .hakuna kupona safari hii.Wapendwa, Ndugu Emanuel Nchimbi, muda mchache uliopita amesema "Napenda kuwataarifu watanzania Wenzangu kuwa Sijahama CCM na sina mpango wa kuhama CCM"
Kauli ya Nchimbi inakuja siku moja tu mara baada ya Edward Lowasa, kuwafagilia akina Nchimbi, Kimbisa, Sophia Simba na wengineo akiwemo Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, kuwa walimuunga mkono kwa asilimia kubwa sana.
Je, hii inaashiria nini ndani ya siasa hizi za Tanzania kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu?
Nchimbi yuko makini sana...hawezi kujiingiza kwenye jumba bovu chadema
Jimbo la Kahama na Ushetu mkoani Shinyanga hakuna CCM. Wenyeviti wote wa vitongoji na mabalozi wao wote nakundi kubwa la wanachama wa ccm pamoja na jumuia ya umoja wa vijana wote wilayani humo wamehamia CHADEMA. Huku mke wa mwenyekiti wa CCM wiliya amechukuwa form kupitia chadema kugombea udiwani akishindana na mumewe kupitia CCM.
Source radio One habari.
Huyo mwanamke atakatwa na mumewe soon.
Teh teh tehGoli la mkono mwisho bafuni...
Wewe unaijua? au unamaana gani?Watanzania wengi bado hamuijui siasa ingawa mnajiaminisha mnaijuwa.
Wapendwa, Ndugu Emanuel Nchimbi, muda mchache uliopita amesema "Napenda kuwataarifu watanzania Wenzangu kuwa Sijahama CCM na sina mpango wa kuhama CCM"
Kauli ya Nchimbi inakuja siku moja tu mara baada ya Edward Lowasa, kuwafagilia akina Nchimbi, Kimbisa, Sophia Simba na wengineo akiwemo Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, kuwa walimuunga mkono kwa asilimia kubwa sana.
Je, hii inaashiria nini ndani ya siasa hizi za Tanzania kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu?
Naona hao milioni 2 watakao mfuata EL ni wanachama wa kawaida kwi kwi kwi...maana Sophia Simba naye hana mpango ...
ccm mnahangaika subirini msiwe na haraka ata kifaru mwenyewe alisema hivyo hivyo hii nivita lazima ujuwe kupigana ili kufikia malengo!!!
Hivi ukipewa kuchagua kura milioni2za wanachama wa kawaida na kura tatu za vigogo utachukua zipi, pole sana.
Mkuu huoni jamaa kateguka mkono kwa kutafuta goli bafuni?Teh teh teh
...... Umesababisha nikacheka kwa nguvu hadi watu nilio kaa nao karibu wamenishangaa.