Nchimbi asema Big Brother ni kero

Nchimbi asema Big Brother ni kero

FJM

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
8,081
Reaction score
6,203
Akihitimisha hoja za bajeti ya Wizara yake 12/08/11 Dr. Nchimbi amesema kuwa kipindi cha Big Brother ni kero na serikali haikuingi mkono. Wakati akisema hayo wabunge wengi walionekana kupiga madawati yao ikimaanisha kuwa wanaunga mkono. Kwangu mimi nimejiuliza:

1. Waziri Nchimbi na hao wabunge waliolalamika kuhusu Big Brother walikijuaje? Ina maana wamekuwa wanakiangalia siyo?

2. Mambo mengi yaliyo kwenye big brother yana tofauti gani na mambo tunayoona huku mitaani hususani watoto wa vigogo?
 
Akihitimisha hoja za bajeti ya Wizara yake 12/08/11 Dr. Nchimbi amesema kuwa kipindi cha Big Brother ni kero na serikali haikuingi mkono. Wakati akisema hayo wabunge wengi walionekana kupiga madawati yao ikimaanisha kuwa wanaunga mkono. Kwangu mimi nimejiuliza:

1. Waziri Nchimbi na hao wabunge waliolalamika kuhusu Big Brother walikijuaje? Ina maana wamekuwa wanakiangalia siyo?

2. Mambo mengi yaliyo kwenye big brother yana tofauti gani na mambo tunayoona huku mitaani hususani watoto wa vigogo?
Tutajia mmoja
 
Naona Maxence yuko kwenye hii thread! swaiba anahitimitisha bajeti leo. Kajitahidi sana mpe hongera zake!
 
Nikweli haina faida badala yake inafundisha ulevi na uzinzi. Waziri Nchimbi itabidi azuie kipindi hicho kuoneshwa kwenye local chanels.
 
Richard walimpongeza,hahahah!
Akihitimisha hoja za bajeti ya Wizara yake 12/08/11 Dr. Nchimbi amesema kuwa kipindi cha Big Brother ni kero na serikali haikuingi mkono. Wakati akisema hayo wabunge wengi walionekana kupiga madawati yao ikimaanisha kuwa wanaunga mkono. Kwangu mimi nimejiuliza:<br />
<br />
1. Waziri Nchimbi na hao wabunge waliolalamika kuhusu Big Brother walikijuaje? Ina maana wamekuwa wanakiangalia siyo?<br />
<br />
2. Mambo mengi yaliyo kwenye big brother yana tofauti gani na mambo tunayoona huku mitaani hususani watoto wa vigogo?
<br />
<br />
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Faida yake it makes money for the producers...,
Binafsi sio mpenzi ila haimaanishi vitu vyote ambavyo sivipendi basi tuvipige vita, uzuri kuna mambo mengi kuangalia kama hupendi kitu basi angalia kingine.

Huku kuanza kupangiana ni nini cha kuangalia ni sawa na kuishi in a "Big Brother Society - Big Brother is Watching You" ..., ukweli ni kwamba nikianza kuchambua program zote za kwenye TV ya taifa sioni yenye manufaa nyingine hata kuburudisha haziburudishi.
 
Nikweli haina faida badala yake inafundisha ulevi na uzinzi. Waziri Nchimbi itabidi azuie kipindi hicho kuoneshwa kwenye local chanels.

Ukizuia kwenye local channels watu wataona kupitia DSTV.Na sote tunajuwa karibu vigogo wote (wabunge included) wana DSTV. Na hapa ndio hoja yangu watoto wa vigogo inakuja. Kwa maneno mengine unachosema, haya maadili ni muhimu kwa walalahoi, lakini wenye nacho 'automatically' wana maadili?
 
Tuwe tunapeleka wanaume tu nini? Watenda kazi na wala siyo watendewa kazi.
 
Mambo ya Big Brother na Mambo ya U - Miss ni kupotezeana muda na rasilimali!
 
Wanawake tunao watuma humo ndo wanaoharibu kipindi hiki.Tupeleke wavulana tu
 
Mambo ya Big Brother na Mambo ya U - Miss ni kupotezeana muda na rasilimali!

Rasilimali zipi? Unataka kumharibia kibarua Lundenga mkuu🙂

Haya maswali ya big brother na miss Tanzania yaliulizwa na mwanamama mmoja amejifunika maushungi. Nadhani kwako haya mambo ni kidini zaidi, lakini ndio hivyo tena 'techno-age'
 
Kwani mtu analizimishwa kukiangalia? Its the matter of choice!
Rich alivyorudi na USD 200,000, mbona kila mtu alimpongeza! Kwa hili napingana na serikali yangu kwa 100%
 
Kwani mtu analizimishwa kukiangalia? Its the matter of choice!
Rich alivyorudi na USD 200,000, mbona kila mtu alimpongeza! Kwa hili napingana na serikali yangu kwa 100%

In a way Dr Nchimbi alijitahidi sana kulijibu hili swala na nahisi hata yeye ni mtazamaji mzuri tu maana alitumia neno 'kero'. Sidhani angeweza kusema ni kero kama hajakiona kipindi chenyewe. Ila siasa na alitaka bajeti yake ipite..... Lakini hili la ma-miss nataka nione ni mwanasiasa gani atahudhuria Miss Tanzania mwaka huu!!!
 
Duh kweli jamaa hawana hoja bora angetetea bei za dstv zishushwe na kuacha kutozwa kwa dola ili kutuwezesha wengi wa kipato cha chini kuona mipoira na kujifunza na pia kupigia debe dstv kununua haki ya kuonyesha mechi badala yake analeta upuuzi bin upuuzi cjui ni kivipi alikuwa dokta au ndo wale wa Mzumbe waliochakachua phd!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom