Nchimbi asema Big Brother ni kero

Nchimbi asema Big Brother ni kero

Nchimbi anaibuka leo baada ya dada yetu kugawa peremende mbele ya camera. Wakati Mwisho na Rich wanawapakua dada wa wengine, najua hata kina Nchimbi walikuwa wanashangilia kimya kimya - mfumo dume!

Kuna vipindi vingi ni ''kero'' kwa jamii, tukianzia na vya Television ya Taifa
 
Kero, kwani kuna mtu analazimishwa kuangalia

Inawezekana huna watoto wewe, kwa mtu mzima anaweza kujizuia lakini watoto wanalitambua hilo?
Kumbuka mtoto ni sawa na empty cassette ambayo inarekodi kila anachokiona na kukiweka akilini,
unadhani tunaandaa taifa la aina gani hapo baadaye?
 
Nchimbi anaibuka leo baada ya dada yetu kugawa peremende mbele ya camera. Wakati Mwisho na Rich wanawapakua dada wa wengine, najua hata kina Nchimbi walikuwa wanashangilia kimya kimya - mfumo dume!

Kuna vipindi vingi ni ''kero'' kwa jamii, tukianzia na vya Television ya Taifa

Kwanini tuendelee kufanya kosa ambalo tumeelewa kuwa lilikuwa kosa?
Pia nakubaliana na wewe kuwa kuna vipindi vingine ambavyo ni kero,
ni jukumu letu kupiga kelele, hata kama wameziba pamba watasikia tu.
 
Inawezekana huna watoto wewe, kwa mtu mzima anaweza kujizuia lakini watoto wanalitambua hilo?
Kumbuka mtoto ni sawa na empty cassette ambayo inarekodi kila anachokiona na kukiweka akilini,
unadhani tunaandaa taifa la aina gani hapo baadaye?
Kaka kama huwezi control watoto wako kwenye TV then hata Bigbrother ikizuiwa haitasaidia kwani kuna vipindi vingi tu watoto wanapaswa kutoangalia. MY ADVICE wawekee program ya vipindi watoto wako wanavyopaswa kuangalia. Pia tusishabikie Kupunguzwa uhuru wetu wa kufanya tutakavyo Kwani ikiendelea hivi ndio tutarudi kwenye UDIKTETA na huko tulishapita siku nyingi sana!
 
Kaka kama huwezi control watoto wako kwenye TV then hata Bigbrother ikizuiwa haitasaidia kwani kuna vipindi vingi tu watoto wanapaswa kutoangalia. MY ADVICE wawekee program ya vipindi watoto wako wanavyopaswa kuangalia. Pia tusishabikie Kupunguzwa uhuru wetu wa kufanya tutakavyo Kwani ikiendelea hivi ndio tutarudi kwenye UDIKTETA na huko tulishapita siku nyingi sana!

Si kwa kuwa wewe unatembea na wanao na unashinda nao! Unaongea kama umekatwa kichwa?
 
Si kwa kuwa wewe unatembea na wanao na unashinda nao! Unaongea kama umekatwa kichwa?
Kwanza unaover-react bro! calm down, Kama unashindwa kucontrol watoto wewe una matatizo! Mtoto hata akiwa na housegirl akiwa programmed hana muda wa kutosha kukaa na kuangalia TV. Atakuwa shule akirudi anaenda kucheza na wenzake na TV anaangalia jioni under parents control na hili nyumbani kwetu TUMEJARIBU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE!
 
Kwanza unaover-react bro! calm down, Kama unashindwa kucontrol watoto wewe una matatizo! Mtoto hata akiwa na housegirl akiwa programmed hana muda wa kutosha kukaa na kuangalia TV. Atakuwa shule akirudi anaenda kucheza na wenzake na TV anaangalia jioni under parents control na hili nyumbani kwetu TUMEJARIBU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE!

Mazingira unayoishi wewe si kila mtu anayaishi, na mimi naongea si kwa ajili ya wanangu bali namuangalia
Mtanzania wa kawaida ambaye hawezi hata kuwa na housegirl lakini ana seti ya television. Tusipende
kushabikia mambo kwa kuwa tu sisi hayatuathiri
 
Big Brother, U-miss ni kutengeneza njia kuu ya umalaya, tabia mbaya, angalia u-miss, tumezalisha malaya wangapi? angalia Bg Bro nako pia ni umalaya mtupu.
 
Ukiona kipindi kinakukwaza usiendelee kukiangalia.
 
Jamani suala hili tusiangalie umimi. Hapa tunaangalia masuala ya maslah ya taifa! Tukianza Kudhibitiana kwa mabo madogo mambo yatakuwa hayaendi kwani kila kitu kitamfurahisha mmoja na kumkera mwingine! Itafikia wakati kula hadharani wakati wa Mwezi mtukufu kutapigwa marufuku, KKupiga adhana msikitini itakuwa kero hivyo MARUFUKU, Kuuza nyama ya nguruwe MARUFUKU nk. Sidhani kama tunataka tuwe hivyo. HII NCHI NI YETU SOTE!!
 
Jamani suala hili tusiangalie umimi. Hapa tunaangalia masuala ya maslah ya taifa! Tukianza Kudhibitiana kwa mabo madogo mambo yatakuwa hayaendi kwani kila kitu kitamfurahisha mmoja na kumkera mwingine! Itafikia wakati kula hadharani wakati wa Mwezi mtukufu kutapigwa marufuku, KKupiga adhana msikitini itakuwa kero hivyo MARUFUKU, Kuuza nyama ya nguruwe MARUFUKU nk. Sidhani kama tunataka tuwe hivyo. HII NCHI NI YETU SOTE!!

So BBA inahusiana nini na maslahi ya Taifa? Kuna maslahi gani kwenye taifa kwa jambo
linalopingwa na walio wengi? Hata demokrasia ina maana ya wengi wamekubali na haimaanishi
kwamba kila jambo lazima likubalike kwenye jamii. hata hivyo usihofu, serikali yetu huwa inatoa
maagizo (amri) ambayo haiwezi kuyashughulikia. Mtaendelea kuangalia BBA ingawa sijui
mnajifunza nini kitakachowaendeleza kifikra kwani hakuna tofauti na kupiga chabo!
 
So BBA inahusiana nini na maslahi ya Taifa? Kuna maslahi gani kwenye taifa kwa jambo
linalopingwa na walio wengi? Hata demokrasia ina maana ya wengi wamekubali na haimaanishi
kwamba kila jambo lazima likubalike kwenye jamii. hata hivyo usihofu, serikali yetu huwa inatoa
maagizo (amri) ambayo haiwezi kuyashughulikia. Mtaendelea kuangalia BBA ingawa sijui
mnajifunza nini kitakachowaendeleza kifikra kwani hakuna tofauti na kupiga chabo!

Kaka umefanya research gani inayoonesha kuwa BIGBROTHER haipendwi na WENGI?
Pili kwenye TRUE DEMOCRACY haki ya wachache inaheshimiwa endapo Haitavuruga na Kuvunja haki ya wengi nami ktk hili Sioni haki yoyote ya WENGI iliyovunjwa na nadhani hoja dhaifu kama WATOTO nk hazina uzito wa kutosha kutaka KUZUIA vipindi vya BBA.
 
Kaka umefanya research gani inayoonesha kuwa BIGBROTHER haipendwi na WENGI?
Pili kwenye TRUE DEMOCRACY haki ya wachache inaheshimiwa endapo Haitavuruga na Kuvunja haki ya wengi nami ktk hili Sioni haki yoyote ya WENGI iliyovunjwa na nadhani hoja dhaifu kama WATOTO nk hazina uzito wa kutosha kutaka KUZUIA vipindi vya BBA.

Anayeendekeza umimi ni wewe na si Nchimbi na wabunge walioikataa BBA,
anyway nadhani sio kosa lako, jamii nzima imekwishaoza
 
Anayeendekeza umimi ni wewe na si Nchimbi na wabunge walioikataa BBA,
anyway nadhani sio kosa lako, jamii nzima imekwishaoza

Kaka, nakuheshimu sana kwa hoja zako ambazo nimekuwa nikizisoma kwenye magazeti,
huyu jamaa unayesumbuka kujibishana nae tayari amekwishalishwa kasumba ambayo
hata umweleze vipi hamuwezi kuelewana
 
Nashauri aanze na kusitisha Vipindi virefu vya taarabu TBC Wakati wa Mchana.
 
Kaka umefanya research gani inayoonesha kuwa BIGBROTHER haipendwi na WENGI?
Pili kwenye TRUE DEMOCRACY haki ya wachache inaheshimiwa endapo Haitavuruga na Kuvunja haki ya wengi nami ktk hili Sioni haki yoyote ya WENGI iliyovunjwa na nadhani hoja dhaifu kama WATOTO nk hazina uzito wa kutosha kutaka KUZUIA vipindi vya BBA.

Naona unaitetea BIG BROTHER kweli kweli. Binafsi huwa siangali huo upuuzi. Tuambie taifa linafaidika nini na hiyo zaidi ya uhuni na umalaya? Kuna haja gani ya kuzui mikada ya X nchini kama watu wanaonyeshwa wanafanya huo upuuuzi. Najua utateea tu hata 'Magay' na 'Lesbians' kwa kufikiria kuwa ni utandawazi. Huu ni ushetani na wala hautakiwa kuenelezwa. Bishop anakuelimisha, ww umeng'ang'a tu, kweli akili yako inakutosha wewe mwenyewe.
 
Kaka umefanya research gani inayoonesha kuwa BIGBROTHER haipendwi na WENGI?
Pili kwenye TRUE DEMOCRACY haki ya wachache inaheshimiwa endapo Haitavuruga na Kuvunja haki ya wengi nami ktk hili Sioni haki yoyote ya WENGI iliyovunjwa na nadhani hoja dhaifu kama WATOTO nk hazina uzito wa kutosha kutaka KUZUIA vipindi vya BBA.

Akili ziko kwenye makalio, una maslahi gani kwenye Big Brother Africa?
 
So BBA inahusiana nini na maslahi ya Taifa? Kuna maslahi gani kwenye taifa kwa jambo
linalopingwa na walio wengi? Hata demokrasia ina maana ya wengi wamekubali na haimaanishi
kwamba kila jambo lazima likubalike kwenye jamii. hata hivyo usihofu, serikali yetu huwa inatoa
maagizo (amri) ambayo haiwezi kuyashughulikia. Mtaendelea kuangalia BBA ingawa sijui
mnajifunza nini kitakachowaendeleza kifikra kwani hakuna tofauti na kupiga chabo!

Endelea kuelimisha watu kama huyu, kwani akikosa Big Brother atakufa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom