thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,797
- 4,688
Hilo halina ubishi, mafuta pia ni kichocheo cha USA kuivamia nchi kama Iraq.Halafu Kuna mtu atakuambia USA wanaiba mafuta ya walibya
Source:Lead-up to the Iraq War - Wikipedia
Na uFuatalia kuhusu mpango WA mwaka 1997 unaofahamika kama project for the new America Century.
Project for the New American Century - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
USA ni mzalishaji mkubwa WA mafuta pia ni mtumiaji mkubwa WA mafuta kiasi cha kwamba mafuta wanayoyazalisha hayawatoshi.
USA ni nchi ya tatu duniani Kwa kuingiza mafuta toka nje kiasi cha mapipa milioni tano Kwa siku.
List of countries by oil imports - Wikipedia
en.m.wikipedia.org