Marekani ndio nchi namba moja duniani kwa mafuta na gesi

Erastojhn

Senior Member
Apr 1, 2012
159
136
Mnamo mwaka 2018 Marekani iliipiku Saudi Arabia na kuwa mzalishaji namba moja wa mafuta duniani,sababu kubwa ya kuzalisha mafuta kwa wingi ni utumiaji wa teknolojia ya kisasa ya uchimbaji mafuta ambayo kitaalam inaitwa'fracking'.

Kwa takwimu za mwaka 2020 Marekani ilizalisha kiasi cha mapipa ya mafuta milioni 16.5 kwa siku ikifuatiwa na Saudi Arabia mapipa milioni 11 na Russia(Urusi) ni ya tatu na mwaka huo ilizalisha mapipa milioni10.7 kwa siku,vilevile mwaka 2011 Marekani iliipiku pia Russia kwa uzalishaji gesi na kuwa nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ambapo kwa takwimu za mwaka 2020 ,Marekani ilizalisha gasi kiasi cha 947.7 billion cubic metres huku Russia ikiwa ni ya pili kwa kuzalisha 693.4 billion cubic meters za gesi mwaka huo na nafasi ya tatu inashikiliwa na Iran ambayo mnamo mwaka 2020 ilizalisha 253.8 billion cubic metres. Hivyo basi ile dhana kuwa waarabu ndo wazalishaji pekee wa mafuta mengi duniani haipo tena na vilevile wale walokuwa wanadhani Urusi inazalisha mafuta mengi na gesi kuliko Marekani wanapaswa kufikiri upya.

Vilevile licha ya Marekani kuongoza ktk uzalishaji wa mafuta na gesi duniani ieleweke kuwa Sio muuzaji No.1 wa mfuta duniani kwani nchi inayoongoza kwa kuuza mafuta (exports) ni Saudi Arabia ikifuatiwa na Urusi ,hii ni kwa sababu uchumi wa Marekani ni mkubwa mno kiasi kwamba sehem kubwa ya mafuta na gesi inayoyazalisha yanatumika ndani ya marekani.

Pia Marekani ina utaratibu wa kununua kias kidogo cha mafuta kutoka nje kwa sbb za kimkakati zaidi mf.( National strategic oil reserve ) nk.

Vivyo basi ile dhana miongoni mwa Watanzania kuwa Marekani anaiba mafuta Iraq,Libya , Afghanistan ni upotishaji mtupu na uongo usio na ukweli wowote.Ifuatayo ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa uchimbaji wa mafuta(crude oil) duniani kwa sasa
1) USA
2) SAUDIARABIA
3) RUSSIA
4) CANADA
5) IRAQ
6) CHINA
7) U.A.E
8) IRAN
9) BRAZIL
10) KUWAIT

Pia nchi 3 (top three countries)zinazoongoza kwa utoaji wa gesi duniani kwa sasa ni 1)USA,2)RUSSIA,3)IRAN.Katika eneo hili la gesi Tanzania inashika nafasi ya 71.

Ni matumaini yangu kuwa ndugu msomaji umesoma na kuelewa,nakaribisha maoni yenu.
 
Mnamo mwaka 2018 Marekani iliipiku Saudi Arabia na kuwa mzalishaji namba moja wa mafuta duniani,sababu kubwa ya kuzalisha mafuta kwa wingi ni utumiaji wa teknolojia ya kisasa ya uchimbaji mafuta ambayo kitaalam inaitwa'fracking'.Kwa takwimu za mwaka 2020 Marekani ilizalisha kiasi cha mapipa ya mafuta milioni 16.5 kwa siku ikifuatiwa na Saudi Arabia mapipa milioni 11 na Russia(Urusi) ni ya tatu na mwaka huo ilizalisha mapipa milioni10.7 kwa siku,vilevile mwaka 2011 Marekani iliipiku pia Russia kwa uzalishaji gesi na kuwa nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ambapo kwa takwimu za mwaka 2020 ,Marekani ilizalisha gasi kiasi cha 947.7 billion cubic metres huku Russia ikiwa ni ya pili kwa kuzalisha 693.4 billion cubic meters za gesi mwaka huo na nafasi ya tatu inashikiliwa na Iran ambayo mnamo mwaka 2020 ilizalisha 253.8 billion cubic metres. Hivyo basi ile dhana kuwa waarabu ndo wazalishaji pekee wa mafuta mengi duniani haipo tena na vilevile wale walokuwa wanadhani Urusi inazalisha mafuta mengi na gesi kuliko Marekani wanapaswa kufikiri upya.Vilevile licha ya Marekani kuongoza ktk uzalishaji wa mafuta na gesi duniani ieleweke kuwa Sio muuzaji No.1 wa mfuta duniani kwani nchi inayoongoza kwa kuuza mafuta (exports) ni Saudi Arabia ikifuatiwa na Urusi ,hii ni kwa sababu uchumi wa Marekani ni mkubwa mno kiasi kwamba sehem kubwa ya mafuta na gesi inayoyazalisha yanatumika ndani ya marekani.Pia Marekani ina utaratibu wa kununua kias kidogo cha mafuta kutoka nje kwa sbb za kimkakati zaidi mf.( National strategic oil reserve ) nk.Vivyo basi ile dhana miongoni mwa Watanzania kuwa Marekani anaiba mafuta Iraq,Libya , Afghanistan ni upotishaji mtupu na uongo usio na ukweli wowote.Ifuatayo ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa uchimbaji wa mafuta(crude oil) duniani kwa sasa 1)USA,2)SAUDI ARABIA,3)RUSSIA,4)CANADA,5)IRAQ,6)CHINA,7)U.A.E,8)IRAN,9)BRAZIL,10)KUWAIT.Pia nchi 3 (top three countries)zinazoongoza kwa utoaji wa gesi duniani kwa sasa ni 1)USA,2)RUSSIA,3)IRAN.Katika eneo hili la gesi Tanzania inashika nafasi ya 71.Ni matumaini yangu kuwa ndugu msomaji umesoma na kuelewa,nakaribisha maoni yenu.
Kwahiyo sasa kipi hasa kinachomfanya USA aweweseke kuomba mafuta na gesi Venezuela, Hungary, UAE na Quarter

Needs are unlimited resources and never ever been satisfied at required standards to anyone in this world

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Mnamo mwaka 2018 Marekani iliipiku Saudi Arabia na kuwa mzalishaji namba moja wa mafuta duniani,sababu kubwa ya kuzalisha mafuta kwa wingi ni utumiaji wa teknolojia ya kisasa ya uchimbaji mafuta ambayo kitaalam inaitwa'fracking'.

Kwa takwimu za mwaka 2020 Marekani ilizalisha kiasi cha mapipa ya mafuta milioni 16.5 kwa siku ikifuatiwa na Saudi Arabia mapipa milioni 11 na Russia(Urusi) ni ya tatu na mwaka huo ilizalisha mapipa milioni10.7 kwa siku,vilevile mwaka 2011 Marekani iliipiku pia Russia kwa uzalishaji gesi na kuwa nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa gesi asilia ambapo kwa takwimu za mwaka 2020 ,Marekani ilizalisha gasi kiasi cha 947.7 billion cubic metres huku Russia ikiwa ni ya pili kwa kuzalisha 693.4 billion cubic meters za gesi mwaka huo na nafasi ya tatu inashikiliwa na Iran ambayo mnamo mwaka 2020 ilizalisha 253.8 billion cubic metres. Hivyo basi ile dhana kuwa waarabu ndo wazalishaji pekee wa mafuta mengi duniani haipo tena na vilevile wale walokuwa wanadhani Urusi inazalisha mafuta mengi na gesi kuliko Marekani wanapaswa kufikiri upya.

Vilevile licha ya Marekani kuongoza ktk uzalishaji wa mafuta na gesi duniani ieleweke kuwa Sio muuzaji No.1 wa mfuta duniani kwani nchi inayoongoza kwa kuuza mafuta (exports) ni Saudi Arabia ikifuatiwa na Urusi ,hii ni kwa sababu uchumi wa Marekani ni mkubwa mno kiasi kwamba sehem kubwa ya mafuta na gesi inayoyazalisha yanatumika ndani ya marekani.

Pia Marekani ina utaratibu wa kununua kias kidogo cha mafuta kutoka nje kwa sbb za kimkakati zaidi mf.( National strategic oil reserve ) nk.

Vivyo basi ile dhana miongoni mwa Watanzania kuwa Marekani anaiba mafuta Iraq,Libya , Afghanistan ni upotishaji mtupu na uongo usio na ukweli wowote.Ifuatayo ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa uchimbaji wa mafuta(crude oil) duniani kwa sasa
1) USA
2) SAUDIARABIA
3) RUSSIA
4) CANADA
5) IRAQ
6) CHINA
7) U.A.E
8) IRAN
9) BRAZIL
10) KUWAIT

Pia nchi 3 (top three countries)zinazoongoza kwa utoaji wa gesi duniani kwa sasa ni 1)USA,2)RUSSIA,3)IRAN.Katika eneo hili la gesi Tanzania inashika nafasi ya 71.

Ni matumaini yangu kuwa ndugu msomaji umesoma na kuelewa,nakaribisha maoni yenu.
Tanzania ndiyo nchi Tajiri Duniani.
Tunaweza kuipa msaada USA na nchi zote za EU.

Mabeberu wanaituibia mafuta yetu.

Hatutauza gesi Wala kuchimba mana Mabeberu ni wezi wanataka kutunyonya na hawataki tuendelee.
 
Mafuta ya wizi hayo kutoka libya na mataifa mengine anayoendelea kuiba ndo una waita namba moja hao ngoja watasalimu amri wanadhani Russia ni Africa akitishwa tu anatoka mbio.
 
Kwahiyo sasa kipi hasa kinachomfanya USA aweweseke kuomba mafuta na gesi Venezuela, Hungary, UAE na Quarter

Needs are unlimited resources and never ever been satisfied at required standards to anyone in this world

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Marekani ni nchi kubwa sana japo wanachimba mafuta mengi hayawatoshi, ndio maana wanahitaji mafuta zaidi kutoka Nje.
 
Tanzania ndiyo nchi Tajiri Duniani.
Tunaweza kuipa msaada USA na nchi zote za EU.

Mabeberu wanaituibia mafuta yetu.

Hatutauza gesi Wala kuchimba mana Mabeberu ni wezi wanataka kutunyonya na hawataki tuendelee.
United States of Africa hii kitu inawatisha Sana mabeberu
 
Back
Top Bottom