Nchi zetu zinataka tutumie internet kuangalia games, mpira, pornography, movies na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisa

Nchi zetu zinataka tutumie internet kuangalia games, mpira, pornography, movies na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisa

Bawabu wa pili

Senior Member
Joined
Nov 14, 2025
Posts
147
Reaction score
432
Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee

Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni kwamba aidha watake au wasitake hawawezi kupambana na teknolojia. Mwanzo walianzaga hivihivi, wakaanza kusema hayo ni mambo ya kwenye mitandao, walipoona wanafeli wakaanza kuanzisha sheria ngumungumu ili tu kuwabana wananchi, mara huwezi kupublish kitu bila leseni.

Juzi Makonda kasema huruhusiwi kupost kuhusu Serikali, au kushare chochote kwenye mitandao kuisema Serikali pasipo na kibali akidhani ya kwamba wanaweza kupambana na teknolojia. Haya wenzetu majirani zetu Waganda, leo wamezima internet for reason kuwa inapisha uchaguzi, swali jepesi ni kuwa Je Internet inazuia vipi uchaguzi? au inasaidia kufanyika vitu kwa uwazi na uhakika?

Hii vita ni bora ile ya wakoloni ila sio hii ya wenyewe kwa wenyewe. Ngoja iendelee kunyesha, tutajua tu panapovuja.
 
Technology ni mafuriko huwezi kuyazuia Kwa viganja
 
Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee

Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni kwamba aidha watake au wasitake hawawezi kupambana na teknolojia. Mwanzo walianzaga hivihivi, wakaanza kusema hayo ni mambo ya kwenye mitandao, walipoona wanafeli wakaanza kuanzisha sheria ngumungumu ili tu kuwabana wananchi, mara huwezi kupublish kitu bila leseni.

Juzi Makonda kasema huruhusiwi kupost kuhusu Serikali, au kushare chochote kwenye mitandao kuisema Serikali pasipo na kibali akidhani ya kwamba wanaweza kupambana na teknolojia. Haya wenzetu majirani zetu Waganda, leo wamezima internet for reason kuwa inapisha uchaguzi, swali jepesi ni kuwa Je Internet inazuia vipi uchaguzi? au inasaidia kufanyika vitu kwa uwazi na uhakika?

Hii vita ni bora ile ya wakoloni ila sio hii ya wenyewe kwa wenyewe. Ngoja iendelee kunyesha, tutajua tu panapovuja.
Soon wata give up , hawawezi kuzuia changes
 
Kwakweli hata Wazungu na Wachina wanavyo tuibia tusilaumu maana hakuna namna, M7 na S100 wamezidi kututia aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom